Ananiachia mimi, don't worry, you are safeNa nchi anamuachia nani?
Pumba & utumwa wa fikra, mbaya sanaHuna ulijuwalo, Rais kutoka common wealth lazima ujue fluently English, msihamishe magoli.
Huyo Putin anajuwa kingereza Fluently, siyo kile cha deliver your passport and we are dona kantre.
Waajiri wake aka wapiga kura wanatakiwa kujua hizo ratiba zingineHaruhusiwi kuwa na ratiba zingine?.
Naipenda nchi yangu Tanzania.Proudly to be Tanzanian.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kwenda New York Nchini Marekani kesho Septemba 18, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akitarajiwa kuhutubia Baraza hilo Septemba 23
Vilevile, atahudhuria Mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabianchi, usalama wa chakula na utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)
View attachment 1942499
Si lazima waseme kila kituWaajiri wake aka wapiga kura wanatakiwa kujua hizo ratiba zingine
On the contrary wenyeji hawataki wageni kwa sasa:Joe Biden & UN wanatamani kumuona iron lady wa Africa.
Hiyo ni sehem mojawapo ya kiongozi wa nchi anayejitambua bwana. Haiyumkiniki uwe na hicho cheo halafu ujifungie ndan kama cheo cha Katibu Tarafa😀HUYU MAMA ANAPENDA SANA SAFARI NA SHUGHULI,ANGEKUWA MAMA WA USWAZI SIJUI ANGEKUWA ANAMPIKIA MUMEWE MUDA GANI
Nani alikudanganya UN unaenda kuongea kingereza tu?Meko alikuwa anakimbia hii mikutano kwa sababu kile kingereza chake cha hapa na pale kule angegeuka kituko.
Ni tabia za watu wa pwani, kuzurula kama kuku.HUYU MAMA ANAPENDA SANA SAFARI NA SHUGHULI,ANGEKUWA MAMA WA USWAZI SIJUI ANGEKUWA ANAMPIKIA MUMEWE MUDA GANI
Mkuu huyo taahira haelewi ni kuachana nae ana stress Magu alimfumua halafu hakumlipa enzi zile akiwa mwalimu.Mkuu. Ile ni stage tu. Samia ataandikiwa atasoma. BUT Unajua Wakienda Rais Wa China. Germany. France. Wanazungunza lugha gani. Putin. Akiongea na Biden. Wanatumia Lugha gani. Kule wasingemwalika JPM. Kila wanachofanya kina sababu. JPM alisoma Ulaya Pia. He was a good scientist. RIP.
Safi sana kodi za watanzania znatumika vyema na hakuna cha katiba mpya kaziendelee.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kwenda New York Nchini Marekani kesho Septemba 18, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akitarajiwa kuhutubia Baraza hilo Septemba 23
Vilevile, atahudhuria Mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabianchi, usalama wa chakula na utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)
View attachment 1942499
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kwenda New York Nchini Marekani kesho Septemba 18, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akitarajiwa kuhutubia Baraza hilo Septemba 23
Vilevile, atahudhuria Mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabianchi, usalama wa chakula na utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)
View attachment 1942499