Mans of vision
New Member
- Sep 6, 2021
- 2
- 1
J PM ulikuwa mzalendo kweli ???!!
Huna ulijuwalo, Rais kutoka common wealth lazima ujue fluently English, msihamishe magoli.Mbona China wanakuja huku wanazungumza ki China? Putin kwenye mikutano ya kimataifa anazungumza ki Russia, unafikiri hata mkalimani angekosa? anyway kiingereza sio sifa wala pesa au kipimo cha akili.
Tuacheni fikra za kitumwa ndugu zangu.
Moja ya wajibu wake.Safari njema kwao, wengi tulijua hata maliza miezi 6 lazima aende majuu.
Ikawa LazimaAnakwenda kwa wenye Chanjo, akirudi kuna uwezekano mbinu ya kupambana na Corona ikabadilika
ZabayangaNa nchi anamuachia nani?
Sitashagaa vasco da gama Jakaya Kiwete atakuwa kwenye msafara huuRais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Samia Sulluh Hassan. Anatarajia kuondoka kesho Tanzania kuelekea Ney York Marekani. Baraza kuu la umoja wa mataifa UN, wakubwa wote wa dunia watakaa kimya kumsikiliz@ mama huyu jasiri akihutubia UN kwa mara ya kwanza Tangu 2015 mara ya mwisho kwa raisi kutoka Tz kufanya hivo.
Kila rahel our beloved president.
Nini maoni yako kuhusu ziara hiyo.
View attachment 1942528source: Twitter.
Wivu unakusumbuaSafari njema kwao, wengi tulijua hata maliza miezi 6 lazima aende majuu.
Hujui lolote ka kimya
Nitafurahi akiandaliwa mkutano na waandishi wa habari wa huko, kama Mwendazake alivyoandaliwa kule Uganda!Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Samia Sulluh Hassan. Anatarajia kuondoka kesho Tanzania kuelekea Ney York Marekani. Baraza kuu la umoja wa mataifa UN, wakubwa wote wa dunia watakaa kimya kumsikiliz@ mama huyu jasiri akihutubia UN kwa mara ya kwanza Tangu 2015 mara ya mwisho kwa raisi kutoka Tz kufanya hivo.
Kila rahel our beloved president.
Nini maoni yako kuhusu ziara hiyo.
View attachment 1942528source: Twitter.
Ataambatana na mzee wa Msoga?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kwenda New York Nchini Marekani kesho Septemba 18, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akitarajiwa kuhutubia Baraza hilo Septemba 23
Vilevile, atahudhuria Mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabianchi, usalama wa chakula na utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)
View attachment 1942499
Kwanza safari yake ni ya muhimu sana,ila to be honesty Maza atarejesha ustawi wa uchumi kwa mda mfupi Sana..Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kwenda New York Nchini Marekani kesho Septemba 18, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akitarajiwa kuhutubia Baraza hilo Septemba 23
Vilevile, atahudhuria Mikutano ya kilele ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabianchi, usalama wa chakula na utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)
View attachment 1942499
Lazima nifuatilie nione anavyohitubia Baraza..Nitafurahi akiandaliwa mkutano na waandishi wa habari wa huko, kama Mwendazake alivyoandaliwa kule Uganda!
Halikuhusu,ni uamzi wake na itakuwa jambo jema maana Mzee wa Msoga ni lobbyist mzuriAtaambatana na mzee wa Msoga?
Tutamuweka miaka mingi kama MerkelJoe Biden & UN wanatamani kumuona iron lady wa Africa.
Mbona inaonekana wew ni member mwenye zaid ya miaka 11 humu Jamii forum Ila kwenye michango yako humu jukwaani Huna cha Maana unachotoa.....???Huna ulijuwalo, Rais kutoka common wealth lazima ujue fluently English, msihamishe magoli.
Huyo Putin anajuwa kingereza Fluently, siyo kile cha deliver your passport and we are dona kantre.
Wewe hupendi? Mama kasake pesa ..HUYU MAMA ANAPENDA SANA SAFARI NA SHUGHULI,ANGEKUWA MAMA WA USWAZI SIJUI ANGEKUWA ANAMPIKIA MUMEWE MUDA GANI
Kesi ya mbowe anaijua nani huko marekani!Mama anaenda kujichora na kesi ya Mbowe haijaisha.