Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Ulitaka aende Burundi? 😆😆Safari njema kwao, wengi tulijua hata maliza miezi 6 lazima aende majuu.
Ulitaka aende Burundi? 😆😆Safari njema kwao, wengi tulijua hata maliza miezi 6 lazima aende majuu.
sana tu, Merkel mwenyewe amefarijika kupata mrithi.Tutamuweka miaka mingi kama Merkel
We mpuuzi unadhani wale mabalozi wanaokuja mahakamani wanakuja kuuza sura.Kesi ya mbowe anaijua nani huko marekani!
Hii ni fursa kubwa sana,serikali inabidi itilie mkazo isiishie ikawa story tuWewe hupendi? Mama kasake pesa ..
Kabla ya mama usingesikia mambo kama haya 👇
View attachment 1942980
Waki mlobby huyu atawaleta na wenzie bahati nzuri pa kuanzia papo kwa bibie 😆🤣 👇Hii ni fursa kubwa sana,serikali inabidi itilie mkazo isiishie ikawa story tu
Wewe ndio mpuuzi,ungeenda rwanda halafu uone wapinzani walivyojaa magerezani na hao marekani awafanyi chochote,simamieni kesi ya msingi kama haki iko upande wenu mshinde kesi sio propaganda eti marekani ina care na kesi ya mboweWe mpuuzi unadhani wale mabalozi wanaokuja mahakamani wanakuja kuuza sura.
Endelea kukaa gizaniWewe ndio mpuuzi,ungeenda rwanda halafu uone wapinzani walivyojaa magerezani na hao marekani awafanyi chochote,simamieni kesi ya msingi kama haki iko upande wenu mshinde kesi sio propaganda eti marekani ina care na kesi ya mbowe
Waziri wa viwanda na uwekezaji wangeanza huyu huko marekani kama na wao watakua kwenye msafara wa mama,japo mazingira yetu ya uwekezaji bado ni finyu sana kwa wamarekani,wapo wamarekani weusi wengi tu hapo TZ ambao kwa vimitaji vyao midogo wanataka kuwekeza lakini kuna watu wanawakwamisha,mbongo akishika nyadhifa anasahau kabisa majukumu yakeWaki mlobby huyu atawaleta na wenzie bahati nzuri pa kuanzia papo kwa bibie 👇
View attachment 1942986
ROYO TUAYaani mkutano tarehe 23 yeye anaondoka kesho tarehe 18? like serious? siku zote zaidi ya 4 atakuwa anafanya nini hapo New York.
Tar 23 ni siku atakayohutubiaYaani mkutano tarehe 23 yeye anaondoka kesho tarehe 18? like serious? siku zote zaidi ya 4 atakuwa anafanya nini hapo New York.
Huyu mama ni Kikwete amerudi katika gauni na ushungi.Yaani mkutano tarehe 23 yeye anaondoka kesho tarehe 18? like serious? siku zote zaidi ya 4 atakuwa anafanya nini hapo New York.
Yaani mkutano tarehe 23 yeye anaondoka kesho tarehe 18? like serious? siku zote zaidi ya 4 atakuwa anafanya nini hapo New York.
Hatukulaumu maana ndio mwisho wa iq yako.usidhani un ni kama chooni unaingia tu mradi hakuna mtu.kuna protocols nyingi zinafuatwa.Yaani mkutano tarehe 23 yeye anaondoka kesho tarehe 18? like serious? siku zote zaidi ya 4 atakuwa anafanya nini hapo New York.
Atakuwa anaongea na wabeba mabox kina nyani ngabu 😂😂Yaani mkutano tarehe 23 yeye anaondoka kesho tarehe 18? like serious? siku zote zaidi ya 4 atakuwa anafanya nini hapo New York.