digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,093
- 14,934
Somalia nayo ni nchi ,Kama unaona rais wetu ni bure ,hamia huko.Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Acha kupotosha mkuu,mama hakumaanisha hivyo,pole SanaSERIKALI YA UPIGAJI YARUDISHWA RASMI ILA BORA WASIVIMBEWE TU BASI.ASANTE MAMA
Kazi iendelee yq kula kwa urefu wa kamba yakoAcha kupotosha mkuu,mama hakumaanisha hivyo,pole Sana
Nauza hizo kofia,njoo nikuuzie umuunge mkono mamaView attachment 2079534
Anajua jinsi wanavyo kula keki ya Taifa. Kula wizarani kwako sio unachungulia kwa mwingine na kuleta majungu.Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......
Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....
Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......
Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......
#Siempre JMT🙏
Hii ina maana kwamba wale ila wasigombane, shida yao wanakula sana Mpaka Wanagombana wakati wameruhusiwa wale TuHuyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Kagame na Museveni wanaweza wakawa wanatucheka kwa vile wao wanaua wakosoaji kama alivyokuwa anafanya Magufuli. Sasa tuna Samia haui wakosoajiHuyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Magufuli hakusema watu wale kwa Kamba yao lakini bado tuliona Mawaziri wake wakila hadi wakavimbiwa na yeye mwenyewe kaindoka na Tsh 1.5 Trillion. Msijifanye hamjui kwamba Magufuli alikuwa mwiziSERIKALI YA UPIGAJI YARUDISHWA RASMI ILA BORA WASIVIMBEWE TU BASI.ASANTE MAMA
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?
Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya
View attachment 2079590
Natanguliza shukurani
Urefu wa kamba ya mbuzi ni madaraka ya kiongozi husika…Majani ni mishahara, perdiems, rushwa nk.Rais akiwahutubia Mwaziri na makatibu wakuu,, amasema anajua kila mtu anakula na atakula kwa urefu wa kamba yake lakini kwa sasa waanzidi hadi awanagombana. Je hii si ndiyo maana ya Rais kuruhusu upigaji ila uwe wa kiistarabu?
Kuleni bila kumfuatafuata kwenda kuchongeana.Anajua jinsi wanavyo kula keki ya Taifa. Kula wizarani kwako sio unachungulia kwa mwingine na kuleta majungu.
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?
Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya
View attachment 2079590
Natanguliza shukurani
Na kula hadi kuvimbiwa ina maana gani .watermelon headUrefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....
Tuache upotoshaji koko.....
#Siempre JMT🙏