Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,434
- 4,222
Wakati ukimjibu dereva aliyelalamikia ukamataji wa madereva wanaobeba mkaa. Umetolea mfano kuwa huwezi kumwona nurse akienda kununua dawa kwenye Pharmacy kisa ana deal na dawa tena ukakazia kuwa kila mtu anapata kwenye ofisi yake.
Kauli yako Makonda imerejea Kauli ya boss wako ya kila mbuzi hula urefu wa kamba yake. It's very sad kuwa nyie ndio viongozi tena wa kitaifa tulio nao.
Impact ya hizo kauli ndo ujambazi na umangimeza tunaouona kwenye serikali yenu ya CCM. Mnaowaongoza wanawa reflect nyie viongozi
Sisi tunaofanya kazi nchi zilizoendelea tukisikia kauli kama hizi honestly tunasikia kuingiwa kichaa kwani tunajua tunapotamani kuiona nchi yetu ikiwa ila kwa mawazo hayo ya viongozi wetu hayo. Hayo mawazo .aliyewaroga alishajifia na yeye.
Duu niwe encouraged kwa mzungu kuchukua paracetamol free kwa kuwa tu mi ni nurse? Tunahitaji more exposure kujua elements za maendeleo.
Mwisho niseme kuwa hii dhambi ya ufisadi kwenye jamii yetu CCM mnau nurture wenyewe ila inatupa kinyaa tunaojua maana ya maendeleo na ili jamii iendelee inahitaji ku behave vipi.
Pia soma: Awamu ya Sita na mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake
Kauli yako Makonda imerejea Kauli ya boss wako ya kila mbuzi hula urefu wa kamba yake. It's very sad kuwa nyie ndio viongozi tena wa kitaifa tulio nao.
Impact ya hizo kauli ndo ujambazi na umangimeza tunaouona kwenye serikali yenu ya CCM. Mnaowaongoza wanawa reflect nyie viongozi
Sisi tunaofanya kazi nchi zilizoendelea tukisikia kauli kama hizi honestly tunasikia kuingiwa kichaa kwani tunajua tunapotamani kuiona nchi yetu ikiwa ila kwa mawazo hayo ya viongozi wetu hayo. Hayo mawazo .aliyewaroga alishajifia na yeye.
Duu niwe encouraged kwa mzungu kuchukua paracetamol free kwa kuwa tu mi ni nurse? Tunahitaji more exposure kujua elements za maendeleo.
Mwisho niseme kuwa hii dhambi ya ufisadi kwenye jamii yetu CCM mnau nurture wenyewe ila inatupa kinyaa tunaojua maana ya maendeleo na ili jamii iendelee inahitaji ku behave vipi.
Pia soma: Awamu ya Sita na mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake