PostGE2025 Rais Samia: JWTZ ijiepushe na mashinikizo ya kisiasa

PostGE2025 Rais Samia: JWTZ ijiepushe na mashinikizo ya kisiasa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Jeshi halilindi mtu linalinda Taifa, hata Rais mwenyewe hajui namna anavyolindwa. Ulinzi wa taifa ni dude (web) linalojiendesha lenyewe, kazi yake ni kunusa kila hatari kubwa na ndogo na kuichambua na kuzipatia majawabu. Usalama wa taifa ni watu wenye akili nyingi na vitendea kazi vingi sana, ni chombo ambacho hakipokei maagizo ya wanasiasa ili kulilinda taifa kwakuwa wanasiasa wengi hawana taaluma ya usalama wa nchi. Hivyo, usifikiri kila anaekamatwa ameagizwa na wanasiasa, hapanaaa, kama ingekuwa hivyo nchi hii ingeshaanguka kitambo. Kazi pekee ya wanasiasa ni kutoa fedha za mishahara, posho zao na gharama za mafunzo baaaasi. Kuna wakati hata CDF hajui kama nae anachunguzwa na nani anamchunguza, hata mkuu wa TISS nae hajui nani anaemchunguza nyuma yake. Kuupenya ulinzi wetu sio kazi rahisi, hata makaburu na wareno walishindwa, Idd Amini alishindwa, Kamuzu banda alishindwa, nk. Usione vyaelea vimeundwa; amani hii Tanzania haiko burebure tu.

Wewe upo kwenye mfumo unanufaika binafsi. Kwa udini, uchawa, kuua Watanganyika ili kulinda cheo, pesa, uchawa.
 
Jeshi lisijihusishe vipi na siasa wakati wanateuliwa kuwa wakuu wa mikoa na wilaya na kukabidhiwa ilani ya CCM?

papoje hapo
 
Jeshi lisijihusishe vipi na siasa wakati wanateuliwa kuwa wakuu wa mikoa na wilaya na kukabidhiwa ilani ya CCM?

papoje hapo
Hapo ndo huwa nachoka
20251222_154716.jpg
 
Hamna kitu hapo, na wametukatisha sana tamaa, jeshi gani wanatambua waibaji wa uchaguzi.Hawajiulizi kwa nini walimuapishia mafichoni???Tuna jeshi butu
Mwalimu aliiacha rushwa imekula chama chake, hakujua ipo siku hata jeshi lake litafikiwa ...ona sasa wanalamba asali na kuuza nchi pasipo kujali vizazi vya kesho vya masikini wa Taifa hili
 
Back
Top Bottom