Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Rais Samia Suluhu Hassan akiwahutubia watanzania walioko Marekani amesema alishangazwa na umeme kukatika nchini humo ambapo amesema ingekuwa Tanzania, January Makamba angetukanwa
Duuuh!!!Ni kweli kabisa!
Kulinganisha mlima na kichuguu..utakua ulikatika kwa seconds tu... January Makamba ni seti tupu kazi imemshinda... na huyu mama mwenyewe kazi hawezi basi tu kwa vile nchi ina wajinga wengi.
Ni kweli hata Marekani wanatoza kodi za majengo kupitia LUKU
Ishu za ushoga zilikuwaga za obama ila alivyoingia trump mlokole alipinga kabisa na jiulize tangu aingie trump umewai kuona wanaongelea hayo mambo??Kama huko wanasapoti ushoga unashangaaje kukatika kwa umeme!! Halafu kama kwao unakatika haimaanishi na sisi huku ukatike sasa vipi na swala la ushoga sasa tusipinge maana kwakua huko lipo au...??
Ila nyie twendeni ndani turudi nje kuna mahali tumepigwa..😂