Hamduni
Senior Member
- Apr 25, 2020
- 156
- 108
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Ndugu. Jokate Mwegelo amesema kuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka 3 ya Uongozi wake kwakuwa amefanya makubwa katika sekta mbalimbali za Afya, Elimu, Miundombinu, Maji na Kuimarisha Demokrasia.
Ndugu. Jokate amesema kulingana na kazi kubwa iliyoifanya Rais Samia hakika amepitiliza kiwango na kuwataka Wanawake wote kumshukuru na kuhakikisha wanamtendea haki kwa kumpa kura nyingi za kishindo ifikapo muda rasmi wa uchaguzi.
🗓️ 26 Machi, 2024
Ndugu. Jokate amesema kulingana na kazi kubwa iliyoifanya Rais Samia hakika amepitiliza kiwango na kuwataka Wanawake wote kumshukuru na kuhakikisha wanamtendea haki kwa kumpa kura nyingi za kishindo ifikapo muda rasmi wa uchaguzi.
🗓️ 26 Machi, 2024