Rais Samia awekeze kwenye utawala wa sheria, katiba mpya na tume huru ya uchaguzi

Wenye chama Chao... walikiazima kwa mazwazwa wa mataga kwa miaka mitano. Mazwazwa yakanogewa yakataka kukimiliki... Mungu akaingilia kati
Wenye chama chao wakinacJ
Wajinga kama nyie ndo mnaamini chama kimetoka kwa wachunga ng'ombe

Nyerere angefufuka ukamuuliza angekuambia chama kimetokea wapi...

CCM tokea TANU hakijawahi kuwa cha wachunga ng'ombe...

JK alikosea kujaribu kuwapa nafasi, na hivi sasa anashukuru baada ya kujuta...

Kazi iendelee....
JK ni nani? Ww ndio mpumbavu mkubwa.JK kadandia tu.Nyie ndio hamjui history na Civics. Wenye chama ni wakina Nyerere,Kawawa,Msekwa.Yaan huna kitu kichwani kabisa.
 
Wenye chama chao wakinacJ

JK ni nani? Ww ndio mpumbavu mkubwa.JK kadandia tu.Nyie ndio hamjui history na Civics. Wenye chama ni wakina Nyerere,Kawawa,Msekwa.Yaan huna kitu kichwani kabisa.
Ukishatoa matongotongo machoni ndo utajua Nyerere alikaribishwa mjini kama wewe mchunga ng'ombe
 
Ukishatoa matongotongo machoni ndo utajua Nyerere alikaribishwa mjini kama wewe mchunga ng'ombe
Mbuzi we!!Kama mungekuwa na uwezo,mbona aliwaongoza miaka 23.Watu wa pwani mnajua mikole tu.Na kubembea .
 
Mbuzi we!!Kama mungekuwa na uwezo,mbona aliwaongoza miaka 23.Watu wa pwani mnajua mikole tu.Na kubembea .
Naona umeniita kwa jina la wanyama uliozoea kuchunga... vipi funza bado wako miguuni au umeshaingia mjini ?

Washamba mkiingia mjini mnajiona wajanja wakati sie tunawaona washamba tu kama mungu wenu mwendazake...

Niite jina la mnyama mwingine kudhihirisha ushambenga wako....
 
Naona umeniita kwa jina la wanyama uliozoea kuchunga... vipi funza bado wako miguuni au umeshaingia mjini ?

Washamba mkiingia mjini mnajiona wajanja wakati sie tunawaona washamba tu kama mungu wenu mwendazake...

Niite jina la mnyama mwingine kudhihirisha ushambenga wako....
Mpumbavu mkubwa,Bagamoyo zimejaa funza kibao.Hakuna MTU was pwani mwenye uwezo wa kuongoza nchi.Mwinyi alifeli.Kikwete alifeli.Ngoja tusubiri mama,nae atafeli tu.
 
Kila siku nawaambia Mataga hawana akili, ninyi huwa mnaona nawadanganya?

Hawana akili hawa, wangekuwa nazo, tungejumuika sote kuidai katiba mpya.

With Katiba Mpya haya mambo yote tungeweza kuangalia namna ya kuyahighlight huko.

Yani wameshindwa kuelewa Chama ni kimoja kila Mtu akija anajifanya ana maono yake hakuna maono ya Taifa , wanadhani Mataifa makubwa yalikuwa na ujinga kama huu.



Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Hivi vyeo fake hivi !! kodi za watanzania kutumika hovyo hovyo

Naombeni tuanzishe movement ya kudai katiba mpya kabla ya 2025

Haiwezekani rais awe na mamlaka makubwa ya kuteuwa watu zaidi ya elfu 1

Yaani ni mambo ya ajabu kweli

Lazima twende street tudai katiba aisee

Mkuu kwenye red ni siri ya mafanikio ya kudai haki tokea kwa waraka wa Shura:

IMG_20210620_101733_140.jpg



Uratibu wa haja ulifanyika kuwaunga mkono wahanga wote kwa hali na mali!

Habari ndiyo hiyo.
 
Hivi vyeo fake hivi !! kodi za watanzania kutumika hovyo hovyo

Naombeni tuanzishe movement ya kudai katiba mpya kabla ya 2025

Haiwezekani rais awe na mamlaka makubwa ya kuteuwa watu zaidi ya elfu 1

Yaani ni mambo ya ajabu kweli

Lazima twende street tudai katiba aisee
Ina maana nasari, lijuakali na mashinji ndio wamewakera kiasi hiki??
 
Hivi vyeo fake hivi !! kodi za watanzania kutumika hovyo hovyo

Naombeni tuanzishe movement ya kudai katiba mpya kabla ya 2025

Haiwezekani rais awe na mamlaka makubwa ya kuteuwa watu zaidi ya elfu 1

Yaani ni mambo ya ajabu kweli

Lazima twende street tudai katiba aisee
Una hasira!!?
hii inatokana na kukosa U-DC sio....!!
naunga mkono swala la katiba mpya
 
Hivi vyeo fake hivi !! kodi za watanzania kutumika hovyo hovyo

Naombeni tuanzishe movement ya kudai katiba mpya kabla ya 2025

Haiwezekani rais awe na mamlaka makubwa ya kuteuwa watu zaidi ya elfu 1

Yaani ni mambo ya ajabu kweli

Lazima twende street tudai katiba aisee
Kwa hili upo sahihi
 
Kubadilisha katiba ni lazima vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla wao vielewe tatizo liliopo.

Vyombo vya ulinzi na usalama ni sehemu ya tatizo tunalolilalamikia usitegemee wafanye chochote. Viongozi wao wanapewa uteuzi kwa hisani ya wanasiasa, na wanaopewa vyeo ni wale wenye uwezo mdogo na kujipendekeza kwa wanasiasa. Mashinikizo, kelele zisizokwisha, ama maandamano pekee ndio yataleta katiba mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom