AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,913
- 6,149
Kwenye lile genge ambalo wale 19 walichomoka, mbona mazwazwa wote mule.Afu tunampa mitano tena, atake asitake.
Nchi hatuwapi tena mazwazwa. Tumejifunza kutokana na makosa tuliyofanya 2015 mpaka Mungu alipoamua kuturekebishia makosa yetu