La muhimu ni kwa Rais Samia kwa hii miaka minne, au mitatu, aipatie Tanzania katiba mpya. Asijikweze sana kutaka kugombea hapo 2025, hilo si lake. Awaachie wenyewe.
Zaidi ajikite kwenye kuwekeza utawala wa sheria, Katiba mpya na tume huru ya Taifa ya Uchaguzi, mambo matatu hayo yatamuweka kwenye chati milele na kuandikwa kwenye Historia kama itakavyoandikwa kuwa ni Rais wa kwanza Mwanamke kwa East Afrika Afrika ya kati mpaka kusini huko na pia Mwenyekiti wa CCM.
Nchi inahitaji Katiba mpya, Utawala wa sheria na Tume huru ya Uchaguzi.
Namsihi awachane kabisa na mambo ya kutaka kuendelea kugombea 2025. Asikubali kutomezwa!
Zaidi ajikite kwenye kuwekeza utawala wa sheria, Katiba mpya na tume huru ya Taifa ya Uchaguzi, mambo matatu hayo yatamuweka kwenye chati milele na kuandikwa kwenye Historia kama itakavyoandikwa kuwa ni Rais wa kwanza Mwanamke kwa East Afrika Afrika ya kati mpaka kusini huko na pia Mwenyekiti wa CCM.
Nchi inahitaji Katiba mpya, Utawala wa sheria na Tume huru ya Uchaguzi.
Namsihi awachane kabisa na mambo ya kutaka kuendelea kugombea 2025. Asikubali kutomezwa!