Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,959
- 33,561
Mi 10 tena kwa rais Samia na ccm mbele kwa mbeleAmehofia huyo Kafulila angeirudisha Chadema madarakani kwenye uchaguzi mkuu ujao, au!!
Kwa hali hii, Katiba Mpya haikwepeki! Yaani unamteua mtu leo, kesho unamtengua/kumhamisha juu kwa ju, na hakuna wa kukuhoji!!
Only in Tanzania!!