Rais Samia awaapisha Wakuu wa Mikoa. Afanya mabadiliko madogo, Kafulila apelekwa Simiyu, Mongella aletwa Arusha

Samia hamna kitu 2025 akajipake hina tu, pamoja na kuchukua muda wote huo bado anafanya makosa tu, sijawahi ona hii kitu kabla.
Sio kupaka hina tu inabidi akaanzishe bendi ya taarabu pamoja na khadija kopa.
 
Sijafurahia reason ya kubadilisha wakuu wa mikoa. Mongela anapelekwa Arusha kwa sababu ni "mzoefu" na majiji na Kafulila ni mpya. This is not a reason for sure kwa sababu yule David, although ni "mpya" ni mbunifu sana kuliko Mongela (kwa mtazamo wangu). Kama kweli hayo ndiyo majukumu ya mkuu wa mkoa as per VP Phillip, wakuu wa mikoa wanaoweza kufanya kazi hiyo popote pale ni Kafulila, Mtaka, and Queen.
Queen na Kafulila hawajawahi kuwa wakuu wa mikoa .. hivyo huwezi kusema wanaweza kufanya popote umezingatia nini ? Mtaka ni sawa kwa sababu record yake ipo.. Halafu kusema ubunifu kuwa Kafulila ana ubunifu wapi ameonyesha ubunifu kumzidi Mongela.... Kuna mahaba kwenye post yako kwa Kafulila...
 
Kama anashindwa kufanya kwa ufanisi vitu vidogo hivi, je ataweza kufuatilia kwa umakini mradi wa LNG Lindi wa 30bn USD ( 70 trl Tzs) ambao anataka usainiwe kwa dharura?
huo ufanisi unaupimaje? unalinginisha uteuzi na kusimamia miradi. two different things.
 
There is a difference between creativity and innovation. By the way, my bro Abubakar kupelekwa Pwani ni demotion right?You wanna tell us that kuna mikoa ya kujifunzia?Probably, ndiyo maana maendeleo kwenye hiyo mikoa hakuna maana ni ya kujifunzia?Really?Are you guys serious?
Huko shuleni na vyuoni huwa mnajifunza ujinga? Nionyeshe ubunifu wa Kafulila, acha ujinga!
 
Pumbavu! Nenda kateue wewe chato gang member mwandamizi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Tumia akili kiongozi punguza chuki, mama kama alikuwa katuliza akili wakati wakuteua mbona tena kabadilisha uteuzi ina maana huyu mama yenu anakurupuka sana penye ukweli lazima tuseme alafu kamwambieni luku inazingua au anataka 10% ya mafuta na bidhaa za majenereta.
 
Ndio ujue kuwa baadhi ya watz wana roho mbaya sana.

Na tatizo ni mfumo mzima

Magu was a very daring man, imagine aliteka nchi nzima, ilibidi mfumo ufate maamuzi yake, hata kama ni mabovu na hakukuwa na yeyote wa kukataa.
 
Humjui Mongella
Sijafurahia reason ya kubadilisha wakuu wa mikoa. Mongela anapelekwa Arusha kwa sababu ni "mzoefu" na majiji na Kafulila ni mpya. This is not a reason for sure kwa sababu yule David, although ni "mpya" ni mbunifu sana kuliko Mongela (kwa mtazamo wangu). Kama kweli hayo ndiyo majukumu ya mkuu wa mkoa as per VP Phillip, wakuu wa mikoa wanaoweza kufanya kazi hiyo popote pale ni Kafulila, Mtaka, and Queen.
 
Kwani mwenye mamlaka ya hizo teuzi si ni yeye Raisi Samia!??

Sasa ulitaka kumpangia muda wa kuteua, kuhamisha na kutengua!???

Sometime muwe mnatumia common sense ktk kujudge mambo
Ungesoma na hiyo paragraph yangu ya katikati, usingepoteza muda wako kunijibu na kujiona una common sense ya hali ya juu!! Wakati mwingine jitahidi kusoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho!
 
Mmama kwa hili la kuteau sijui huwaa anafanya mwenyewe au vipi maana kwenye teuzi nyingi amekuwa akibadilisha wakati tayari matangazo yashatoka au anateua kwa akili zake alafu wajuaji wanaanza kumpanga upyaa???? kwa hili anafaa kubadilika maana haileti taswira nzuri yani kuna kukosea kwingi sana. Tunampenda sana mama yetu,.
 
Kama anashindwa kufanya kwa ufanisi vitu vidogo hivi, je ataweza kufuatilia kwa umakini mradi wa LNG Lindi wa 30bn USD ( 70 trl Tzs) ambao anataka usainiwe kwa dharura?
Mbona wewe mwenyewe huchangii kwa ufanisi hoja hii? Kwanini uite kukosa ufanisi kufanya mabadiliko kabla ya kuapisha na isiwe hatua hiyo ni kuthibitisha ufanisi?
 
Mliokuwa mnajipendekeza kwake mnataka kujionyesha kuwa alikuwa akiwashughulikia ili mpate wanaume wengine? Pumbav!
Sijawahi kujipendekeza kwa mtu na wala sijasema mwendazake alikuwa perfect, inaonekana mshikaji aliwashika pabaya kama sio kuwala viboga kabisa.
 
Back
Top Bottom