Riskytaker
Member
- Mar 14, 2024
- 90
- 453
Pesa ambazo Rais anazitoa kwa wachezaji wanaolipwa mishahara ya mamilioni eti kwa kufunga GOLI zinatosha kujenga zahanati simiyu ndan ndan Huko.
Haingii akilini kumwaga pesa kwa watu wanalipwa mishahara na timu zao
Kama ni motisha aseme timu ikishinda kombe atatoa zawadi yenye kiasi fulan.
Hakuna kuendekekeza visivyo na faida nchi kama china Japan na south Korea ,zimeendelea kwa kuach upuuzi na kudeal na mambo yenye tija
Haingii akilini kumwaga pesa kwa watu wanalipwa mishahara na timu zao
Kama ni motisha aseme timu ikishinda kombe atatoa zawadi yenye kiasi fulan.
Hakuna kuendekekeza visivyo na faida nchi kama china Japan na south Korea ,zimeendelea kwa kuach upuuzi na kudeal na mambo yenye tija