Rais Samia atoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika Viwanja vya Ikulu - Chamwino Dodoma tarehe 24 Aprili 2024.


View: https://www.youtube.com/live/EmRN8w3uk7w?si=SMHMMsNu_3_zvd_f

View attachment 2972854
Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mama Salma Kikwete Nishani ya Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere aliyoipokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.

View attachment 2972855
Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mama Janeth Magufuli Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambayo aliipokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika halfa iliyofanyika lkulu Chamwino, Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.

View attachment 2972856Rais Samia Suluhu Hassan akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Samwel Malecela kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024

View attachment 2972858Rais Samia Suluhu Hassan akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Awamu ya Tatu Mhe. Fredrick Sumaye kwenye hafla iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.
View attachment 2972923

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein vitabu vya Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais pamoja na Kitabu cha Safari za Picha ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka 60 kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.
View attachment 2972924
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Makamu Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mohamed Gharib Bilal kwenye hafla iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.
View attachment 2972926

Yaani Magufuli ni rais mstaafu halafu unajiita mwandishi wa shughuli za Ikulu?
1714035941017.png
 
Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika Viwanja vya Ikulu - Chamwino Dodoma tarehe 24 Aprili 2024.


View: https://www.youtube.com/live/EmRN8w3uk7w?si=SMHMMsNu_3_zvd_f

View attachment 2972854
Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mama Salma Kikwete Nishani ya Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere aliyoipokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.

View attachment 2972855
Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Mama Janeth Magufuli Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambayo aliipokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika halfa iliyofanyika lkulu Chamwino, Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.

View attachment 2972856Rais Samia Suluhu Hassan akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Samwel Malecela kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024

View attachment 2972858Rais Samia Suluhu Hassan akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Awamu ya Tatu Mhe. Fredrick Sumaye kwenye hafla iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.
View attachment 2972923

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein vitabu vya Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais pamoja na Kitabu cha Safari za Picha ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka 60 kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.
View attachment 2972924
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimtunuku na kumvalisha Nishani ya Mwenge wa Uhuru Daraja la Pili Makamu Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mohamed Gharib Bilal kwenye hafla iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 24 Aprili, 2024.
View attachment 2972926

Mbona hakuna waliokuwa Tanu wakati ule na sasa wako upinzani? Hawa baadhi yao hatuoni walichokifanya zaidi ya kutumikia ofisi zao kutokana na ajira zao.
 
miundombinu mibovu, ripoti ya CAG inatisha, bajeti kujikita zaidi kwenye matumizi ya kawaida, kupeleka nguvu nyingi kwenye siasa za chama tawala na kusahau majukumu yao serikalini!
Tutawaadabisha lini hawa waelewe serikali ni yetu raia na siyo yao?!
TUAMKE RAIA HAWANA UPENDO NASI WALA NCHI HAWA...
 
Unakumbuka The Arab springs iliyoangusha tawala nyingi za kidekta hapa Africa? Kuna mwamba mmoja alichoshwa na utawala wa hovyo wa nchi yake akaenda karibu na ikulu akajimimia petrol kisha akajitia kibiriti akatekea huku akiacha msg kwamba Bora kufa kuliko kutawaliwa kidwanzi. Baada ya hapo waarabu wakalianzisha.

UNAONAJE MZEE UKISOGEA PALE CHAMWINO UKAFANYA THE SAME,? Tutakuunga mkono boss
 
miundombinu mibovu, ripoti ya CAG inatisha, bajeti kujikita zaidi kwenye matumizi ya kawaida, kupeleka nguvu nyingi kwenye siasa za chama tawala na kusahau majukumu yao serikalini!
Tutawaadabisha lini hawa waelewe serikali ni yetu raia na siyo yao?!
TUAMKE RAIA HAWANA UPENDO NASI WALA NCHI HAWA...
Hawa akina Etwege ni hovyo sana.
 
miundombinu mibovu, ripoti ya CAG inatisha, bajeti kujikita zaidi kwenye matumizi ya kawaida, kupeleka nguvu nyingi kwenye siasa za chama tawala na kusahau majukumu yao serikalini!
Tutawaadabisha lini hawa waelewe serikali ni yetu raia na siyo yao?!
TUAMKE RAIA HAWANA UPENDO NASI WALA NCHI HAWA...
Hawa tuwa Senegalise tu ....
Wamejisahau sana, wabinafsi, kujali maslahi yao na familia zao tu...
Enough is enough kwa kweli
 
Back
Top Bottom