abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,154
Hahaha!!!!!kama vp tujiunge Uvccm
Nakubali sheikh
Jamii forum
Nakubali sheikh
Jamii forum
Hoja ijibiwe mara ngapi? We kama ni mbumbumbu wa uchumi tulia uelimishwe.Hutuko kulingishiana taaluma zetu ww jibu hoja kisomi
Asante sana mama,ngoja nichekAngalia insta ya ikulu dada utayaona
Kesho utasikia kawa waziri kamili, tz bila connection kutoboa ni ngumRidhiwani kuwa Naibu Wizara ya Ardhi, kosa kubwa hapa limetendeka, sijui kwanini napata wasiwasi wa huyu kijana kutofit hapa.
Mama amebalance kumuweka hapo.Ridhiwani kuwa Naibu Wizara ya Ardhi, kosa kubwa hapa limetendeka, sijui kwanini napata wasiwasi wa huyu kijana kutofit hapa.
Huku ndio kujifariji kwenyewe😆😆Mama amekwisha sasa. Na CCM itagawanyika sasa hivi. Sibirini. Mama anaongizwa na Kikwete na wala siyo yeye mwenyewe. Hajiamini hata mara moja. Asitudanganye.
Amemtoa Ndugai kafara na yeye siku zake zinahesabika. Tit for tat!
Na ni Magumashi ndio yaliwatoa kwamba sio timu yao na sio ishu za kiutendaji .Nyie mijamaa ni MINAFIKI SANA...
January Makamba hakuwepo kwenye uongozi wa JPM...
Labda kwa tume hii, lakini tume ikiwa huru na uchaguzi wa haki hatoboiNguvu yake akaiamishie jimbo kwake
Kwa jinsi Mambo yanavyo kwenda kasi kuna watu wanasononeka sana mahali huko....Magu anabiringika kaburini.
Kosa ni lake JPM mwenyewe kwa legacy yake kuwa flipped up side down, unawezaje kumuweka potential mrithi wako mtu humjui
Sukuma gang mmepoteana 🤣Sasa kwanini useme atafanya uhuni?
Andika tu kiswahili mdogo wangu, westwater ndo kitu gani? Au ulimaanisha majitaka (wastewater)!!!Hamna jipya siasa za Ccm ni za westwater
Pesa itakayobak Kila mtu apewe Nauli ajue aendako ,Mim naenda kwa Kina Mwigulu,BurundiRidhiwani ndani, bora tupigwe mnada tu