Waitara ni mbunge kumbuka sijui kama unaelewaMatunda ya usaili na kununulika kama nyanya, hasara nje nje, kwani nyanya kuoza dk 2 nyingi.
Basi mama anapo endelea kupiga kazi , na kuchagua timu yake mpya , inabidi mshangilieKwamba katiba mpya ndio ingewapa uwaziri wa kudumu?
Lukuvi anaenda kuwa Spika
Tangu timu zianze kuteuliwa zimebadilisha nini kwenye maisha yako binafsi!?Basi mama anapo endelea kupiga kazi , na kuchagua timu yake mpya , inabidi mshangilie
BOYS TO MEN..... Like father...!!Nape
Ridhiwani
Januari
Muda mfupi ujao Mabadiliko ya Baraza la mawaziri yanatarajiwa kutangazwa kutoka Ikulu Jijini Dar es salaam.
======
Rais Samia amebadilisha muundo wa Wizara Tatu, Ameunganisha Wizara ya Uwekezaji iliyokuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Viwanda na Biashara kuwa Wizara Moja ambayo itaitwa Uwekezaji, Viwanda na Biashara.
Ameunda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Wizara ya mwisho aliyoifanyia mabadiliko ni Wizara ya Afya
Uteuzi (Mawaziri Wapya):
Nape Moses Nnauye - Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Hamad Masauni - Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi
Dkt. Pindi Chana - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
Dkt. Angelina Mabula - Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Hussein Bashe - Waziri wa Kilimo
Manaibu:
Anthony Mavunde - Kilimo
Jumanne Abdallah Sagini - Mambo ya Ndani
Dr. Lemomo Ole Kiruswa - Madini
Ridhiwani Kikwete - Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Atupele Mwakibete - Ujenzi na Uchukuzi (Upande wa Uchukuzi)
Mabadiliko ya Mawaziri:
Jenista Mhagama - Utawala Bora
Ummy Mwalimu - Afya
George Simbachawene - Katiba na Sheria
Profesa Joyce Ndalichako - Waziri wa Kazi
Innocent Lugha Bashungwa - TAMISEMI
Profesa Adolf Mkenda - Wizara ya Elimu
Dkt. Dorothy Gwajima - Wanawake, Jinsia na Makundi Maalum
Mohammed Mchengerwa - Utamaduni na Michezo
Dkt. Ashatu Kijaji - Uwekezaji
Mawaziri Walioachwa
Palamagamba Kabudi - Alikuwa Wizara ya Katiba na Sheria
William Lukuvi - Alikuwa wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi
Kitila Mkumbo - Alikuwa Wizara ya Viwanda na Biashara
Geoffrey Mwambe - Alikuwa Wizara ya Uwekezaji
=====
Kwa Ufupi;
Ikulu
Mkuchika
Utumishi
Mhagama
Ndejembi
Tamaisemi
Bashungwa
Silinde
Festo
Makamu wa Rais
Jafo
Hamis Hamis
Sera Bunge
Pindi Chana
Nderiananga
Ajira na kazi
Ndalichako
Katambi
Fedha
Mwigulu
Chande
Ulinzi
Tax
Ndani
Masauni
Sagini
Katiba
Simbachawene
Pinda
Mambo ya Nje
Mulamula
Mbaruku
Kilimo
Bashe
Mavunde
Mifugo
Mashimba
Ulega
Ardhi
Mabula
Kikwete
Maliasili
Ndumbaro
Masanja
Nishati
Makamba
Byabato
Madini
Biteko
Kiluswa
Ujenzi
Mbarawa
Atupele Mwakibete
Godtlfrey Kasekenya
Viwanda
Kijaji
Kigahe
Afya
Ummy Mwalimu
Ole Mollel
Elimu
Mkenda
Kipanga
Maendeleo ya kamii
Gwajima dorothy
Mwanaidi Hamis
Maji
Jumaa aweso
Mahundi
Utamaduni
Mchengerwa
Gekul
Habari Mawasiliano
Nape Nnauye
Kundo Mathew
Kwahio?Wote hao ni wabunge hadi 2025 uwaziri ni kitu cha kupewa muda wowote unanyanganywa
Wewe endelea kuuwaza upinzani wakati hiyo ccm yako ndo bye bye baba jeni.Kama huna akili zakutosha kusoma alama za nyakati huwezi kuona hilo.Haya kumekucha! Kabla la Ndugai halijapoa vizuri, Wapinzani mmetupiwa fupa lingine la kuhangaika nalo! Mtacheza nalo hili kwa siku kadhaa then mtatupiwa la fupa la Spika mpya! Huku upande wenu hakuna mfanyacho cha maana, ujinga tu wa mitandaoni! Wapinzani wa nchi hii ni wa hovyo sana!! Wenyewe CCM wanasonga mbele huku wakiombana radhi na kusonga mbele! Hongera Nape, Hongera Riz! Mnastahili, mmenyanyasika sana miaka 5 iliyopita!
View attachment 2073622
Hata sura zao zilikuwa zinajionyesha kabisa yaani mtu ana toa macho utadhani chura kabanwa na mrango
Hayo mijane imebaki kulialia. Eti legacy. Legacy my foot!Tangu timu zianze kuteuliwa zimebadilisha nini kwenye maisha yako binafsi!?
Umasikini wako utabaki pale pale hata akiteuliwa mjomba ako
Hawana cha kupoteza maisha yao yako palepaleKwahio?
Hapa kama wameteleza vile but let wait nawaona wapigaji wa maeneo ya watu wakijiandaa kuyapiga kisawasawa.Ridhiwani ndani, bora tupigwe mnada tu
Biteko ndio mtu sahihi kwenye wizara ya Madini. Anaielewa vizuri sana hiyo wizara na amefanya mambo mengi ambayo yameinufaisha nchi na wachimbaji wadogowadogo.Huyu Doto Biteko Upepo wake uko Vizuri, Mganga wake ni nani aisee mana mpaka leo ana hema, au kafukia mbuzi mzima hapo Wizarani, Kongole kwake Dr Biteko
Wacha wazidi kuijua dunia
Hakuna kitu cha aibu mtu mzima kuwa mnafiki
Halafu mbaya zaidi so called wataalamu
Ila mama kapiga kwenye mshono