Ile ya magu aliyomjengea mpaka akaenda kuikagua haikuwa bagamoyo kweli!!?

Maana hii wamesema ipo kinondoni
Magufuli alienda kukagua ujenzi wa nyumba ya JK iliyo Kawe.

Leo kakabidhiwa nyumba ya Kinondoni.

Sasa jiulize, Kawe ipo Kinondoni ama Kawe ipo Bagamoyo.
 
Mkurugenzi eti ndo asimamie miradi ktk halishauri bila kuiba huku anajua hata uwanja hawezipewa baada ya kustaaf
 
Leo rais kikwete amekabidhiwa nyumba yake kwa mujibu wa sheria kama bandiko la idara ya habari ikulu ilivyosema inathamani ya tsh 500million kwa mujibu wa jpm wakati akimkabidhi mzee ruksa


Hizi nyumba watakabidhiwa marais wote wastafu na zilinza kujengwa kipindi cha jpm hii kikwete alisema waimalize kwanza yeye bado amepanga na hadaiwi kodi hatimae leo wamekabidhi


Nyie maskini mtajijua awamu hii ipo kwa wakubwa na matajiri wa taifa


USSRView attachment 1778669View attachment 1778670View attachment 1778671

View attachment 1778667

View attachment 1778668
Safi sana naona sasa umeanza kunena kwa lugha
 
Wanagawiana utajiri wa nchi hii kama Njugu.

Kikwete mwenye Lijumba lote lile Msoga ana shida gani ya nyumba?

Wanajitungia misheria ya kulipana mibenefits ya kufuru halafu tukiwauliza wanajitetea kwa sheria hizohizo!

Hiyo nyumba wala hajajengewa Kikwete bali ni urithi wa Riziwani, Miraji, Salama, Mama Salma na watoto wa Kikwete.

Mambo mengine ya nchi hii yanatia kinyaa ajabu.
Hawa watawala ni wachoyo na wabinafsi hakuna maelezo.
Kugawana Ulithi na pesa za walipa kodi ambao wengi ni maskini wa kutupwa hospitali hakuna dawa hakuna madarasa hivi huwa wanawaza nini mioyoni mwao?
Aliyepewa Benz ataliendesha lini na wapi?
JK ana nyumba kila kona kwa nini lakini?
This is ridiculous
Nchi tajiri mfano mzuri USA Canada UK etc wastaafu hawapewi zawadi za magari sijui nyumba kwani hiyo inaashiria kuwa ni RUSHWA SIO FADHILA
Ukistaafu ni jukumu lako kununua nyumba na mortgage utalipa kama wengine, Gari la serikali utapewa na dereva was serikali was serikali kama unahitaji gari la familia utanunua kwa pesa yako japo ulinzi utapewa...
Lipo jambo tusilolijua
Hii tabia ikomeshwe
Hakuna la maana mlilowafanyia wananchi kujilipa fadhila
Mungu Yupo
 
Ule usemi kuwa mwenye nacho ataongezewa hatimaye nimeuona ukitimia ndani ya hizi siku mbili zilizo fatana, kweli Bible huwa haisemi uongo
 
yaan binamu wee acha tyuuh, mioyo ya wananchi inaumia sana ila bas tyuuh, vile wao hawajui.
Na mtaendelea kuumiaaa kama mnawafatilia
Ndomana nasema pambaneni na hali zenu
Na nyie tafuteni kivyenu

Ova
 
Back
Top Bottom