Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Ndio alivosema yeye mwenyewe siku ile yupo na marehemu wanakagua maendeleo ya ujenzi kuwa wenye nyumba wanamvumilia Siku zimepitaSijaelewa, Yaani Kikwete anaishi nyumba ya kupanga?
Ndio alivosema yeye mwenyewe siku ile yupo na marehemu wanakagua maendeleo ya ujenzi kuwa wenye nyumba wanamvumilia Siku zimepitaSijaelewa, Yaani Kikwete anaishi nyumba ya kupanga?
Magufuli alienda kukagua ujenzi wa nyumba ya JK iliyo Kawe.Ile ya magu aliyomjengea mpaka akaenda kuikagua haikuwa bagamoyo kweli!!?
Maana hii wamesema ipo kinondoni
Ipo masaki ya BenIla ya mzee Ben alijikabidhi?alikabidhiwa kimya kimya, sijui imejengwa wapi.
MATAGA dai katiba mpya acha kulialia.Mataga wanakomeshwa ee?
Mataga wanakuwasha sana....Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku njoooniii huku
Uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaaMataga wanakuwasha sana....
Huyo mtanikumbuka ndiyo aliyeanzisha huu UJINGA"mtanikumbuka"
Safi sana naona sasa umeanza kunena kwa lughaLeo rais kikwete amekabidhiwa nyumba yake kwa mujibu wa sheria kama bandiko la idara ya habari ikulu ilivyosema inathamani ya tsh 500million kwa mujibu wa jpm wakati akimkabidhi mzee ruksa
Hizi nyumba watakabidhiwa marais wote wastafu na zilinza kujengwa kipindi cha jpm hii kikwete alisema waimalize kwanza yeye bado amepanga na hadaiwi kodi hatimae leo wamekabidhi
Nyie maskini mtajijua awamu hii ipo kwa wakubwa na matajiri wa taifa
USSRView attachment 1778669View attachment 1778670View attachment 1778671
View attachment 1778667
View attachment 1778668
Watakupatia dawa sshvUuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa
Tuyanyooshe jamani uuuuwwiiiiiiii
Hawa watawala ni wachoyo na wabinafsi hakuna maelezo.Wanagawiana utajiri wa nchi hii kama Njugu.
Kikwete mwenye Lijumba lote lile Msoga ana shida gani ya nyumba?
Wanajitungia misheria ya kulipana mibenefits ya kufuru halafu tukiwauliza wanajitetea kwa sheria hizohizo!
Hiyo nyumba wala hajajengewa Kikwete bali ni urithi wa Riziwani, Miraji, Salama, Mama Salma na watoto wa Kikwete.
Mambo mengine ya nchi hii yanatia kinyaa ajabu.
Huu ushauri wako si upokeiWatakupatia dawa sshv
SaaanaaMataga wanakomeshwa ee?
Nchi hii ndiyo ilivyo...Watu wanagawana cake za Taifa vile wapendavyo yaan, Eeeh Jah tusaidie waja wako.
Nyumba aliyewajengea ni jpmMother Teresa hataki mchezo, kesho atamnunulia ndege ridhiwan
Na mtaendelea kuumiaaa kama mnawafatiliayaan binamu wee acha tyuuh, mioyo ya wananchi inaumia sana ila bas tyuuh, vile wao hawajui.
Hilo nenoNakushauri usijipe presha sana unaweza kufa kabla ya siku zako angalia maisha yako acha kuumizwa na mafanikio ya wenzako.