Rais Samia akataa mwananchi kueleza shida kwenye mkutano, amtaka amfikishie kupitia mbunge

Na yawezekana Mwananchi huyu angepita mlemle...!!! Sasa angepita tu akaenda kule ambapo Tanzania ni kubwa kama maelekezo angempa huyo huyo Mbunge.

Rais wangu hivi vitu vidogo vidogo usiruhusu Tena, wananchi wanavikusanya na hii inaweza kuwasababisha wananchi wakakuvalia miwani ya mbao badala ya miwani ya vioo.

Asante kwa kunisikiliza.
 
Mbona Magu zingine alizipatia majibu instantly hapo hapo? Kuna zingine ni nyepesi anaweza toa order kwa DC au RC na ikafanyiwa kazi mapema zaidi. Sasa anasimama ili acheke na wananchi?
Samia sio mkurupukaji, na haendeshi nchi kama Magufuli, bali kwa namna yake mwenyewe
 
Ni kweli Rais hawezi kusikiliza kero za mwananchi mmoja mmoja, itakuwa jau sana .... mwingine kapigwa na mumewe anataka kesi apeleke kwa Rais, tutamaliza saa ngapi?

Sidhani kama hizo ndio shida walizotaka kusema. Kipindi cha magu wananchi walikuwa wanatamka shida zinazo wagusu wao kwa wingi si personal
 
Rais Samia leo September akiwa Nangurukuru mkoani Mtwara alisimamisha msafara wake kuongea na wananchi wa eneo hilo. Moja wananchi hao aliomba kuongea jambo ambapo Rais alimwambia mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa.

Rais Samia alimtaka mwananchi huyo ampatie jambo lake mbunge kisha amfikishie Rais au wasaidizi wake.

Mwaka 2017 Rais Magufuli akiwa anaelekea Mtwara alisimamishwa Somanga na mwananchi aliyeelezea changamoto ya zahanati katika eneo hilo kutokamilika kwa miaka mingi. Rais Magufuli alichangia na kuamrisha ikamilike.

Alipopita tena barabara hiyo miaka 3 baadae mwananchi huyo alimzawadia jogoo kama shukrani ya kutimiza ahadi ya kufanyia kazi dukuduku lake na Magufuli alimsubiri mpaka alipomkamatia na kumpa. Alipofariki, mwananchi huyo alifunga safari kumzika Rais Magufuli mwaka 2021.

Alihofia asije kuulizwa swali kuhusu DP World!! Hilo bado ni kaa la moto kwake!!
 
Ili iweje? Rais hawezi kusikiliza kero za mtu mmoja mmoja, na hata akisikiliza hawezi kufanya maamuzi hapo kwa hapo, maana inawezekana huyo mwananchi akawa anapotosha pia. Kama yule mama wa Tanga alivyompotosha Magufuli

Kama anapotosha si kuna vyombo vya kufuatilia? Kuna viongozi wa eneo husika? Wana kazi gani?
 
Ofcourse hawezi kusikiliza yote ila akiwepo sehemu husika anaweza akasikiliza kwahio hata akiona mtu haja-flash choo ataacha uchafu sababu janitor yupo ?

Ni kweli kila mtu ana weaknesses zake na strength na Samia hii papo kwa papo sio strength yake lakini asilete maigizo kama anasimamisha gari aambiwe anaupiga mwingi pia asikilize na kujibu wale wanaoona anapwelea
 
Maana ya kuwa na wasaaidizi au kuwa na viongozi wa serikali ni nini?

Wewe umewahi shuhudia wapi rais akisikiliza kero za mtu mmoja mmoja hapa duniani? At huyo wa marekani ushawai sika?
Marekani hamna viongozi wa wa mchongo na matapeli kama wa Tanzania na ndiyo maana Wananchi wanaziamini system zao lakini Tanzania tuna viongozi wa ovyo na wengine ndiyo vinara wa kusababisha migogoro kama wale DC na DED waliohamisha mradi wa serikali kwa madai ya kisiasa na Rais aliwatumbua.Sasa unataka Wananchi waamini viongozi Wahuni?
 
Marekani hamna viongozi wa wa mchongo na matapeli kama wa Tanzania na ndiyo maana Wananchi wanaziamini system zao lakini Tanzania tuna viongozi wa ovyo na wengine ndiyo vinara wa kusababisha migogoro kama wale DC na DED waliohamisha mradi wa serikali kwa madai ya kisiasa na Rais aliwatumbua.Sasa unataka Wananchi waamini viongozi Wahuni?
Sasa kinachotakiwa ni kuzitengeneza hizo systems zinazoaminika, sio mambo ya one man show na maigizo ya barabarani.
 
Ili iweje? Rais hawezi kusikiliza kero za mtu mmoja mmoja, na hata akisikiliza hawezi kufanya maamuzi hapo kwa hapo, maana inawezekana huyo mwananchi akawa anapotosha pia. Kama yule mama wa Tanga alivyompotosha Magufuli
2025 wala hata siyo mbali mbona.
 
Samia sio mkurupukaji, na haendeshi nchi kama Magufuli, bali kwa namna yake mwenyewe
Amefanya nini cha maana tokea aiingie? Mafuta yamepanda, Kauza Ngorongoro na kuhamisha kinguvu Wamasai,kauza banadari! Huyo ubongo wake mdogo hawezi kuhimiri mikikimikiki aliyokuwa nafanya Magufuli!
 
Mandhali Lucas mwashambwa ameshamwambia anapendwa nchi nzima, na anachukiwa na uongozi wa taifa wa CHADEMA pekee basi hana hata haja ya kusikiliza kero maana zinampotezea muda njiani
Watanzania tupo million 61 na laki 7.Hivyo mh Rais hawezi kumsikiliza kila mtu,lakini kupitia wawakilishi wa wananchi na wasaidizi wa Mh Rais kila mwananchi anaweza kufikiwa na mkono wa Mh Rais na akatatuliwa shida yake.

Kila mtanzania anasikilizwa na mh Rais kupitia wasaidizi wake.Ndio maana ya uwepo wa mbunge ambaye umesikia alivyoekezea changamoto za wapiga kura wake ikiwepo changamoto ya barabara kipande fulani,pembejeo hasa madawa ya korosho,maji, n.k. wewe unafikiri akisimama njia nzima na kila mtu akasema kero yake unafikiri itachukua muda gani kumaliza kuwasikiliza maelfu ya wananchi wa Eneo moja tu?

Lengo la mh Rais kusimama eneo fulani ,kwanza ni kuwasalimu wananchi wake ,lakini pia kusikiliza kero zao za eneo husika kupitia mbunge wao wa jimbo husika. Na kutolea majibu ya papo kwa papo kupitia watu kama mawaziri kama ambavyo umeona akiwapa nafasi akina juma Aweso na wengineo. Lakini pia kuna wakuu wa mikoa,ma DC ,ma DED, mameneja wa maji na umeme mikoa n.k.
 
Ili iweje? Rais hawezi kusikiliza kero za mtu mmoja mmoja, na hata akisikiliza hawezi kufanya maamuzi hapo kwa hapo, maana inawezekana huyo mwananchi akawa anapotosha pia. Kama yule mama wa Tanga alivyompotosha Magufuli

Za barabara hizi
 
Rais Samia leo September akiwa Nangurukuru mkoani Mtwara alisimamisha msafara wake kuongea na wananchi wa eneo hilo. Moja wananchi hao aliomba kuongea jambo ambapo Rais alimwambia mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa.

Rais Samia alimtaka mwananchi huyo ampatie jambo lake mbunge kisha amfikishie Rais au wasaidizi wake.

Mwaka 2017 Rais Magufuli akiwa anaelekea Mtwara alisimamishwa Somanga na mwananchi aliyeelezea changamoto ya zahanati katika eneo hilo kutokamilika kwa miaka mingi. Rais Magufuli alichangia na kuamrisha ikamilike.

Alipopita tena barabara hiyo miaka 3 baadae mwananchi huyo alimzawadia jogoo kama shukrani ya kutimiza ahadi ya kufanyia kazi dukuduku lake na Magufuli alimsubiri mpaka alipomkamatia na kumpa. Alipofariki, mwananchi huyo alifunga safari kumzika Rais Magufuli mwaka 2021.


Kuna njia za kuwasilisha matatizo na hoja za wananchi.
 
Rais Samia leo September akiwa Nangurukuru mkoani Mtwara alisimamisha msafara wake kuongea na wananchi wa eneo hilo. Moja wananchi hao aliomba kuongea jambo ambapo Rais alimwambia mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa.

Rais Samia alimtaka mwananchi huyo ampatie jambo lake mbunge kisha amfikishie Rais au wasaidizi wake.

Mwaka 2017 Rais Magufuli akiwa anaelekea Mtwara alisimamishwa Somanga na mwananchi aliyeelezea changamoto ya zahanati katika eneo hilo kutokamilika kwa miaka mingi. Rais Magufuli alichangia na kuamrisha ikamilike.

Alipopita tena barabara hiyo miaka 3 baadae mwananchi huyo alimzawadia jogoo kama shukrani ya kutimiza ahadi ya kufanyia kazi dukuduku lake na Magufuli alimsubiri mpaka alipomkamatia na kumpa. Alipofariki, mwananchi huyo alifunga safari kumzika Rais Magufuli mwaka 2021.

Kipindi kile nyumbu walisema wananunuliwa wakaigize kwa Magu
nyumbu watueleze huyu nae kanunulíwa
 
Ili iweje? Rais hawezi kusikiliza kero za mtu mmoja mmoja, na hata akisikiliza hawezi kufanya maamuzi hapo kwa hapo, maana inawezekana huyo mwananchi akawa anapotosha pia. Kama yule mama wa Tanga alivyompotosha Magufuli
Kura tu ndio zinahitajika za mmoja mmoja kweli ma CCM ni laanakum
 
Rais Samia leo September akiwa Nangurukuru mkoani Mtwara alisimamisha msafara wake kuongea na wananchi wa eneo hilo. Moja wananchi hao aliomba kuongea jambo ambapo Rais alimwambia mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa.

Rais Samia alimtaka mwananchi huyo ampatie jambo lake mbunge kisha amfikishie Rais au wasaidizi wake.

Mwaka 2017 Rais Magufuli akiwa anaelekea Mtwara alisimamishwa Somanga na mwananchi aliyeelezea changamoto ya zahanati katika eneo hilo kutokamilika kwa miaka mingi. Rais Magufuli alichangia na kuamrisha ikamilike.

Alipopita tena barabara hiyo miaka 3 baadae mwananchi huyo alimzawadia jogoo kama shukrani ya kutimiza ahadi ya kufanyia kazi dukuduku lake na Magufuli alimsubiri mpaka alipomkamatia na kumpa. Alipofariki, mwananchi huyo alifunga safari kumzika Rais Magufuli mwaka 2021.

Kisiasa, mama kateleza!
Sasa kaenda Mtwara/Lindi kufanya nini?
Kuwasikiliza watendaji ambao anao huko huko Darisalama na Dodoma?
 
Back
Top Bottom