Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek, nchini Namibia kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob
Shughuli za mazishi ya kitaifa ya Hayati Dkt. Geingob zinatarajia kufanyika katika jiji la Windhoek nchini humo kesho, Jumamosi Februari 24.2024
Shughuli za mazishi ya kitaifa ya Hayati Dkt. Geingob zinatarajia kufanyika katika jiji la Windhoek nchini humo kesho, Jumamosi Februari 24.2024