Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,675
- 40,928
umeme hakuna, mvua hainyeshi na ufisadi umeshamiri.๐๐๐
View attachment 2023129
What a record.
umeme hakuna, mvua hainyeshi na ufisadi umeshamiri.๐๐๐
View attachment 2023129
Watateseka sana awamu hii,Mkuu kwani waliotoa hii orodha ni Watanzania?
Sasa GNP ya nini hapa wewe mbumbu?
CHADEMA NDIO MAJANGILI, NAONA WEWE BADO NI MWANACHAMA MPYA HUIJUI CHADEMA VEMANiungane na majangili?
Nini kinakutesa hapa mkuu??!!๐๐๐
View attachment 2026450
Sabaya, MakondaCHADEMA NDIO MAJANGILI, NAONA WEWE BADO NI MWANACHAMA MPYA HUIJUI CHADEMA VEMA
Kwanini za kipuuzi bingwa?
Nenda kaulize zile TZS 20 BL za Ruzuku ya 2015|2020 ziko wapi?Sabaya, Makonda
Aanza na za CCMNenda kaulize zile TZS 20 BL za Ruzuku ya 2015|2020 ziko wapi?
Wewe ndio mwenye mada hii, Kaulize kwanza hii pesa ilipoAanza na za CCM
MkuuSi tulishaambiwa tuko kwenye Uchumi wa Kimachinga wa Kati.
DaaahSoon tutaanza kugawa misaada duniani, hasa nchi masikini kama marekani n.k
Hii ni roho mbaya tu mkuuYaani kila siku ni ujinga hakuna mapya,, unajisifia wakati wananchi hawana maji umeme,, uchumi gani huo,, au ndiyo ule wa kuwakamua wananchi wakati nyinyi mkisubiria mishahara minono mnoo
Unaposhindanisha Tanzania ambayo haujawahi kupata vita hata siku moja na nchi kama Congo, Sudan, etc unatarajia nini? Kwanza hauoni hii ni aibu kuwa na u huni mbovu kiasi hiki ingali tuna kila rasilimali na hatujawahi kuwa na civil unrest????Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
Mkuu salama?Si tulishaambiwa tuko kwenye Uchumi wa Kimachinga wa Kati.
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
Acheni sifa za kijinga,WaTz bwana.Hivi katika muda huu mfupi kiasi hiki kafanya nini to make that possible?Huu ni unafiki of the highest order.Au ndio campaign zimeanza hivyo.Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP