Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’
imgvfdage12.png
 
Yaani kila siku ni ujinga hakuna mapya,, unajisifia wakati wananchi hawana maji umeme,, uchumi gani huo,, au ndiyo ule wa kuwakamua wananchi wakati nyinyi mkisubiria mishahara minono mnoo
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Unaposhindanisha Tanzania ambayo haujawahi kupata vita hata siku moja na nchi kama Congo, Sudan, etc unatarajia nini? Kwanza hauoni hii ni aibu kuwa na u huni mbovu kiasi hiki ingali tuna kila rasilimali na hatujawahi kuwa na civil unrest????

Sidhani kama ni sahihi kujipima na nchi zenye vita miaka yote, tujipime na Ulaya na Asia.
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP


Umelipwa kiasi gani !.
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Acheni sifa za kijinga,WaTz bwana.Hivi katika muda huu mfupi kiasi hiki kafanya nini to make that possible?Huu ni unafiki of the highest order.Au ndio campaign zimeanza hivyo.
 
Back
Top Bottom