Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,861
- 20,714
Hazitambui kwa kuwa kuna nia ovu ya kupotosha.Niseme hivii, kipimo kizuri cha uchumi wa nchi kukua ni GNP,kutumia GDP kupima uchumi wa nchi kukua is "Rogue Economics." Kama wewe ni Economist wake up and see things in the right perspective,usikubali kudanganya.Unamawazo mazuri Ila basics za uchumi hazitambui unachosema hapo, Ndio maana kipimo cha Utajiri ni GDP na sio GNP