Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,469
- 2,103
Akina Nani?Hawana aibu hao! Ujinga ni kipaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina Nani?Hawana aibu hao! Ujinga ni kipaji.
Tupe link mkuu kama hutojaliHiyo nafasi Tanzania ilishakuwepo tangu awamu ya Tano
Mmeanza tena ule ujinga wenu wa enzi ya Magufuli?Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
Ujinga upi mkuu?Mmeanza tena ule ujinga wenu wa enzi ya Magufuli?
Si tulishaambiwa tuko kwenye Uchumi wa Kimachinga wa Kati.
Ninyi labda kwasababu mko kwenye system.Bila shaka, tuko kwenye uchumi wa kati chini
Ninyi labda kwasababu mko kwenye system.
Huku mitaani Watu wanashindia miguu ya Kuku kama mlo kamili.
Ma CHAWA wanaosifia hata kisichowezekana ili kulinda matumbo yao na kusubilia teuzi.Akina Nani?
Hahaa!!! labda addicts Marekani hawali Miguu ya Kuku😆Hata Marekani watu wa aina hiyo wapo, Washauri wafanye kazi kwa bidii
CHADEMA imechoka sanachadema kwa kuwa ni kawaida yao watakuja kupinga hapa na matusi juu
Tupe link mkuu kama hutojali
Ndio tuko safi,Si tulishaambiwa tuko kwenye Uchumi wa Kimachinga wa Kati.
Wewe umekati?
Fikiria kwa kina.Akina Nani?
Mkuu kwani waliotoa hii orodha ni Watanzania?Ma CHAWA wanaosifia hata kisichowezekana ili kulinda matumbo yao na kusubilia teuzi.