Hakuna cha kazi maalum mtu anatetea tu chama chake na Rais wakeFacts?,yaani nmekufuatilia nikajua uko kwa kazi maalumu,endelea mtalipukia mbele ,watanzania kwa sasa si wajinga ,hayo makaratasi yenu endeleeni nayo kujirisha matango pori
Tanzania hatutegemei mkopo nakataaMkuu hata ingekuwa 8:8 bado ilipashwa kusemwa,
Watu wanasema Tanzania inategemea misaada je nikweli?
Unataka tunyamaze?
Wanaaema Rais Samia anategemea misaada hataki kujitegemea kama mwenzake, Hoja hii iwasaidia kutambua ukweli wa Rais Samia
Sababu ya hoja yangu ni hiyo mkuu wangu,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
Wewe utakataa pesa?Mbona tunaipokea sasa kama hatuitegemei.
Wewe utakataa pesa?Mbona tunaipokea sasa kama hatuitegemei.
Mama hata ujipigie debe vipi, kazi imeishakushinda
💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🙌🏿🙌🏿Tuko vizuri tangu enzi za Hayati Rais John Pombe mpaka enzi za Samia,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🙌🏿🙌🏿Huyu mama Mungu ambariki sana,
Kumbe hata misaada amepunguza duuu,
Mama yuko Smart sana aise,
💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🙌🏿🙌🏿Jf zihami kabisa,
Haya mambo unayapata wapi
Samia Mama lao aise
💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🙌🏿🙌🏿 Andiko zuri sanaHaaaah!
Kumbe bajeti ya mama misaada ya mabeberu imepungua?
Mungu amlinde mama yetu sana
Waliosema tunategemea misaada njooni mjibu haoja za crde hapa,
CM 1774858 wewe ni mzalendo endelea kufukuza waongo wote wa nchii hii
💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🙌🏿🙌🏿Mkuu hata ingekuwa 8:8 bado ilipashwa kusemwa,
Watu wanasema Tanzania inategemea misaada je nikweli?
Unataka tunyamaze?
Wanaaema Rais Samia anategemea misaada hataki kujitegemea kama mwenzake, Hoja hii iwasaidia kutambua ukweli wa Rais Samia
Sababu ya hoja yangu ni hiyo mkuu wangu,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
Amen mama anafanya vizuri SanaMungu mbariki Rais Samia,
Mpe kibali cha hali ya juu sana ili atuongoze kwa haki na usawa
Samia safi sana
Nikweli japo tunautaka sanaTanzania hatutegemei mkopo nakataa
Kama imemshinda kafanye weweMama hata ujipigie debe vipi, kazi imeishakushinda
Ungeitaja hata moja iliyomshinda,Mama hata ujipigie debe vipi, kazi imeishakushind
Wao wameweza nini?Kama imemshinda kafanye wewe
Wao wameweza nini?
Jf watu wanapenda udakuHaaaah!
Kumbe bajeti ya mama misaada ya mabeberu imepungua?
Mungu amlinde mama yetu sana
Waliosema tunategemea misaada njooni mjibu haoja za crde hapa,
CM 1774858 wewe ni mzalendo endelea kufukuza waongo wote wa nchii hii