Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,402
- 5,498
Na ndivyo ilivyo!Ninapoanzisha ' Mada ' hapa Jamvini ( JamiiForums ) kisha nikiona ninaanza Kueleweka vyema na JF Intelligent Members ( kama Wewe hivi ) huwa nafurahi sana. Ulichokiandika ndiyo sahihi 100% na ' Mama ' awe makini mno na ' Utaratibu ' huu kwani utazalisha ( unazalisha ) Visununu na ataanza ' Kuhisiwa ' kuwa ana ' Uzanzibari ' mwingi kuliko ' Katiba ' ya JMT inavyotaka.