Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,941
- 4,128
Saaafi sana hii kitu, maana Waafrica bado hawajapata akili na hata wakiwa nayo, hawana uwezo wa kutofautisha kitu kizuri na kibaya
Na wakiweza kutofautisha, bado hawawezi kuchukua hatua! Mlitaka M7 afanye nini katikati ya jamii isiyojitambua na isiyoweza kuchukua hatua?
Na wakiweza kutofautisha, bado hawawezi kuchukua hatua! Mlitaka M7 afanye nini katikati ya jamii isiyojitambua na isiyoweza kuchukua hatua?