GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,651
- 109,049
Yaani leo wengi wenu Shingo zimewashupaa Kumlaumu Rais wa Uganda Museveni kumteua Mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu mpya wa Majeshi ya Uganda.
Mbona hamshangai Watawala wenu ( Marais na Waliostaafu ) pamoja na Mawaziri wenu mbalimbali ambao nao wamehakikisha Watoto Wao wameshika Nyadhifa za maana Serikalini huku Wengine wakimiliki Mirija yote mikubwa ya Uchumi nchini Tanzania?
Kwahiyo Waswahili Watanzania labda mniambie GENTAMYCINE mlikuwa mnataka Rais Museveni amteue nani mnayemjua ndiyo awe CDF wake / wa Uganda?
Nyie ni nani wa Kumpangia Rais Museveni na Waganda mambo yao? Yenu ya Ujinga, Maradhi, Umasikini na Upumbavu yanayowakabili tokea Uhuru wenu mmeshamalizana nayo?
Tena nimekuwa Mtu wa Kwanza huko Twitani ( sasa X ) kutoka Tanzania kumpongeza Muhoozi Kainerugaba kwa UTEUZI huo na pia Kumpongeza Baba yake Rais Museveni kwa kuona Uwezo mkubwa wa Kijeshi wa Kitaaluma na Kiutendaji alionao Mwanae huyo.
Mnajifanya kutwa Kumtishia Rais wa Rwanda Kagame kuwa mtampiga sasa Nawaonya kwa Uganda tena ya Bingwa wa Vita vya aina zote, Jasusi Mkomavu na Mwerevu Rais Museveni ( na sasa Mwanae Fundi wa Vita vya Ardhini na Intelligence ( Muhoozi Kainerugaba kama CDF wake msije rogwa mkawachokozwa kwani huenda Chamwino, Magogoni na Kizimkazi vyote vikawa ni Mali rasmi ya Uganda ambayo GENTAMYCINE naiogopa mno Kimedani kwasababu zangu Binafsi ambazo kwa leo naomba Nizihifadhi
Mbona hamshangai Watawala wenu ( Marais na Waliostaafu ) pamoja na Mawaziri wenu mbalimbali ambao nao wamehakikisha Watoto Wao wameshika Nyadhifa za maana Serikalini huku Wengine wakimiliki Mirija yote mikubwa ya Uchumi nchini Tanzania?
Kwahiyo Waswahili Watanzania labda mniambie GENTAMYCINE mlikuwa mnataka Rais Museveni amteue nani mnayemjua ndiyo awe CDF wake / wa Uganda?
Nyie ni nani wa Kumpangia Rais Museveni na Waganda mambo yao? Yenu ya Ujinga, Maradhi, Umasikini na Upumbavu yanayowakabili tokea Uhuru wenu mmeshamalizana nayo?
Tena nimekuwa Mtu wa Kwanza huko Twitani ( sasa X ) kutoka Tanzania kumpongeza Muhoozi Kainerugaba kwa UTEUZI huo na pia Kumpongeza Baba yake Rais Museveni kwa kuona Uwezo mkubwa wa Kijeshi wa Kitaaluma na Kiutendaji alionao Mwanae huyo.
Mnajifanya kutwa Kumtishia Rais wa Rwanda Kagame kuwa mtampiga sasa Nawaonya kwa Uganda tena ya Bingwa wa Vita vya aina zote, Jasusi Mkomavu na Mwerevu Rais Museveni ( na sasa Mwanae Fundi wa Vita vya Ardhini na Intelligence ( Muhoozi Kainerugaba kama CDF wake msije rogwa mkawachokozwa kwani huenda Chamwino, Magogoni na Kizimkazi vyote vikawa ni Mali rasmi ya Uganda ambayo GENTAMYCINE naiogopa mno Kimedani kwasababu zangu Binafsi ambazo kwa leo naomba Nizihifadhi