Bahari ndiyo inapindua? Hakuna ukweli kwenye hili. Ni maneno ya vijiweni haya.Nyerere alihamia Dodoma sababu ya kuogopa kupinduliwa sababu yuko karibu na bahari. Huyu naye kahama kwa sababu hizo hizo eti anaishi pangoni
Jamaa Kilaza Maji dah, sijui kuna kitu gani anakijua...hiyo Katiba ya kuitambua Dodoma aliipitisha lini na wapi hata wengine wasiweze kubadili?😀Anasema ata akifa leo makao makuu yatakuwa dodoma hayawezi kurudi dar maana ni kuvunja sheria anasema anaweza ondoka akaja mtu akataka makao makuu yarudishwe dar never haitatokea itakuwa ni uvunjifu wa katiba.
My take: kumbe yeye akivunja katiba nisawa ila hataki wengine wavunje kama yeye?
Mkuu Wyatt ndio tumeshahamia Dodoma hivyo, yaliyobakia ni mazungumzo baada ya habari.
Jamaa Kilaza Maji dah, sijui kuna kitu gani anakijua...hiyo Katiba ya kuitambua Dodoma aliipitisha lini na wapi hata wengine wasiweze kubadili?[emoji3]
toa evidence mtanzania mwenzanguHivi kuna rais kavunja katika kama magufuli toka tanzania izaliwe?
Kwani anajua ata maana na vitu vilivyoandikwa kwenye katiba? kamuulize ata ibara ya 1 ya katiba yetu inasemaje. Yeye anajua tu kufokea watu basi.Hivi kuna rais kavunja katika kama magufuli toka tanzania izaliwe?
Twende taratibu, hauna haja ya kutukana, pia iekeweke ni mkuu wa nchi, hivyo jaribu kuzuia hisia.Mkuu
Lile jamaa ni li kichaa fresh fulani hivi!
Usimchukulie serious hata kidogo
Ndoto za saa nane mchana tena ule wa jua kali.Sawa,ila 2025 mnarufisha kende Dar!
Wait and see this space!
Bashite anajua kila kituMara hii ameshaanza kupambana na kumkosoa rais ajaye kabla hata yeye mwenyewe hajaondoka madarakani na hatujui huyo ajaye atakuwaje?
Afe tu....yote yaliyoandikwa ama kunenwa yatatimia.....kwa ukamilifu...Anasema ata akifa leo makao makuu yatakuwa dodoma hayawezi kurudi dar maana ni kuvunja sheria anasema anaweza ondoka akaja mtu akataka makao makuu yarudishwe dar never haitatokea itakuwa ni uvunjifu wa katiba.
My take: kumbe yeye akivunja katiba nisawa ila hataki wengine wavunje kama yeye?
Ndoto za saa nane mchana tena ule wa jua kali.
Twende taratibu, hauna haja ya kutukana, pia iekeweke ni mkuu wa nchi, hivyo jaribu kuzuia hisia.
Poa mkuu nashukuru kwa angalau kutumia muda wako kunijibu, ni heshima kubwa kwangu.Mkuu wa nchi unamjua wewe!
Sijamtaja popote!
Na una uhakika gani nilikua namuongelea yeye?
Acha umatako!
Na kama unataka kuniona njoo Germantown hapa Maryland!
See me when you see me,I will take my chances!
Na kumbuka huku tuna second amendment mamaeeeee!
Nisogelee nakupa glocks za matako vilevile,hivyo jipange!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hebu tueleweshe wewe uliyemuelewa.Nadhani hujamuelewa rais. Pole sana.
Sio mwaka, wiki mbili tu yupo Dar huyo.Akikaa dodoma mwaka mzima bila kurudi magogon ndio ntaamini
Kaka nakutumia PM kuna ishu fulani nataka kusikia comments zako.Sawa,ila 2025 mnarufisha kende Dar!
Wait and see this space!