maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,233
- 1,320
Acha kudanganya watu ni ofisi ndogo ambazo zinakuwa ni za mawaziri, naibu waziri na maktibu wakuu... ni sub office. Alafu wengine wanakodi nyumba za vyumba vitatu kama ofisi. So labda wahamie mawaziri tu...Dodoma ikulu ipo nzuri hawajengi ingine , wizara zote wana ofisi Dodoma ni vyema tujifunze South Africa ile miji ya biashara inaachwa iwe huru Kwa biashara na serikali inakaa kingine.