Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
Wataalamu tusaidieni faida na hasara za kuhamia dodoma. Ahsanteni
Kwa hili la kuhamia Dodoma hata mie nitamwombea Kwa kweli Kwa sababu moja ya kero kubwa jijini Dsm ni foleni na misafara isiyokwisha huku idadi ya wahamiaji ikiongezeka Kwa kasi kubwa na miundo mbinu haitoshelezi .God bless Magufuli.
Mkuu wangu kwa kauli tata za mukulu...nitaamini siku nitakapoona yeye pamoja na wizara zote wako dodoma....ila kutamka tu...hapana Mkuu...nitakuwa wa Mwisho kuamini tamko....bado tuu unamashaka...kweli mungu ameumba!
Mkuu hii ramani imeitoa Malawi?? Huo mpaka hapo ziwa Nyasa Tanzania hatuutambuisafi sana. lazima tuwe tunajiwekea commitment na kuwa results oriented.
![]()
Kasema ndani ya miaka 4 na miezi 4 serikali yote itakuwa Dodoma.Haya matamko kila rais aka Mwenyekiti wa ccm amekuwa akiitoa ila wanamaliza miaka 10 bado wapo dar....ebu tusubiri tuone na huyu itakuweje...
Faida kubwa ni kupunguza foleni jijini pia kuepusha gharama posho za kuwalipa madereva na watumishi wanaokwenda Dodoma kikazi , baada ya kuhamia watalipwa mishahara tu, faida ya pili ni kusambaza maendeleo kwenye miji ya njia kuu kuelekea Dodoma na mikoa yote itaendelea Kama ilivyokuwa south afrika, Malawi , Nigeria na India ambapo miji mikuu ipo mbali na miji ya kibiashara , hakuna hasara kabsa .Wataalamu tusaidieni faida na hasara za kuhamia dodoma. Ahsanteni
Sawa kabisa Mkuu.....tusubirie tuone...miaka minne sio mingi sana....tuombe tu uhaiKasema ndani ya miaka 4 na miezi 4 serikali yote itakuwa Dodoma.
safi sana. lazima tuwe tunajiwekea commitment na kuwa results oriented.
![]()
Mukulu wa Dar atasitisha zoezi la kuwarudisha kwao maana watarudi wenyewe kwa kuwa wamesogezewa fursa...kina matonya kazi kwao,fursa imesogezwa!
kukaa karibu na wavuvisafi sana. lazima tuwe tunajiwekea commitment na kuwa results oriented.
![]()
Makada wamelalamika.wewe ni kada?au ndio ile unaisemea nafsi...!aliyesema haya nae kada.
Kwa nini? Kwani Dar kuna tatizo gani? Maana sijaelewa vizuri huu mwimbo wa serikali kuhamia Dodoma. Kwani huko Dodoma kuna nini cha ajabu kitakacholeta neema kwa Tanzania serikali ikihamishiwa huko?kwa hili tumpongeze....
Soma post # 48Kwa nini? Kwani Dar kuna tatizo gani? Maana sijaelewa vizuri huu mwimbo wa serikali kuhamia Dodoma. Kwani huko Dodoma kuna nini cha ajabu kitakacholeta neema kwa Tanzania serikali ikihamishiwa huko?
Kama serikali ndiyo ilikuwa inasababisha jam, ina maana jam sasa itahamia Dodoma, kisha watapendekeza serikali ihamishiwe Mpanda au Mbozi ambako kutakuwa hakuna jam (wakati huo). jam husababishwa na matatizo ya miji kukosa mpangilio tu.Jam itapungua sana