Rais Magufuli, sasa serikali ihamie Dodoma

Rais Magufuli, sasa serikali ihamie Dodoma

na bot na majengo yake yaliyojengwa kijanja janja je?
 
Ahsante sana, mheshimiwa Rais kwa kunijibu live toka Dodoma, kuhusu ombi langu hili. Kuwa u tahakikisha kabla hujamaliza kipindi chako hiki cha miaka mitano, utakuwa serikali nzima imehamia Dodoma na tayari umeshaanza kujifunza kigogo. Nimefurahi sana kwa kweli.
 
sukari imemshinda,..halafu awe wa kwanza kuhamia dodoma...that can't be done sababu hata mamilioni yake ya mshahara hayakatwi kodi!!!!aache zake daslam mpango mzima
Atakaegoma kwenda Dodoma abaki Dar, na kibarua ndo kitaota majani. Mbona Tamisemi na wizara ya Mifugo ziko Dodoma? Zingine zitashindwaje kuhama?
 
Atakaegoma kwenda Dodoma abaki Dar, na kibarua ndo kitaota majani. Mbona Tamisemi na wizara ya Mifugo ziko Dodoma? Zingine zitashindwaje kuhama?


Leo ndio nimeelewa kuwa serikali ni Rais, makamu, waziri mkuu na mawaziri. Hao wakihamia dodoma basi serikali imehamia dodoma.
 
Rais ndiyo dira ya serikali, akiamua kitu kwa mifano, mambo yote yanawezekana
 
safi sana. lazima tuwe tunajiwekea commitment na kuwa results oriented.

stock-vector-tanzania-political-map-political-map-of-tanzania-with-the-capital-dodoma-national-borders-most-151269227.jpg
Kwenye hii Ramani umeuona mpaka wa Tanzania na Malawi ulipo? Au unataka kuleta ligi nyingine?
 
Leo ndio nimeelewa kuwa serikali ni Rais, makamu, waziri mkuu na mawaziri. Hao wakihamia dodoma basi serikali imehamia dodoma.
Umeona eeh? Unadhani wakianza wao watatu (Magu, Samia na Majaliwa), unadhani kuna mwe.hu yoyote anayetegemea mshahra wa serikali atakaebaki Dar? Thubutu!
 
Umeona eeh? Unadhani wakianza wao watatu (Magu, Samia na Majaliwa), unadhani kuna mwe.hu yoyote anayetegemea mshahra wa serikali atakaebaki Dar? Thubutu!

Na itakuwa jambo la maana sana baada ya kuhamia Dodona ikulu ya dar ikageuzwa kuwa kivutio cha utalii tukizingatia kuna wale tausi.
 
Serikali haihitaji majengo mengi. Uamuzi huo ni mzuri sana. Dodoma ni katikati. Shida TZ bado serikali inawafanyakazi wengi ambao hawahitajiki. Ulimwengu wa E-Government huhitaji kuwa na utitili wa wafanyakazi. Hatua ya kuhamia Dodoma ni nzuri sana.
 
Baada ya Tamko la Mwenyekiti mpya wa CCM, Rais John Pombe Magufuli kuitaka serikali yake ya awamu ya tano kuhamia Dodoma kabla ya awamu yake ya kwanza ya Urais kwisha. Mamlaka ya ustawishaji, Makao makuu (CDA) ni vema sasa ikajiandaa vya kutosha kwa vitendo kuipokea serikali kwa kuongeza kasi ya kuupanga mji wa Dodoma ikiwemo kuongeza kasi ya upimaji wa viwanja katika maeneo ya pembezoni mwa mji ili kuepuka msongamano katikati ya mji pindi serikali itapohamia Dodoma.

Dah! mkuu kwani miaka yote hiyo Dodoma haijapangwa kweli?
 
Back
Top Bottom