kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,905
Wasalaam,
Napenda kumshauri Rais wangu mpendwa wa serikali hii ya awamu ya Tano kuhamisha serikali yake yote kwenda Dodoma.
Hili lina faida, litapunguza gharama na kuharakisha maendeleo ya nchi. Hebu ona Mikutano ya bunge, chama na serikali inavyotugharimu kila uchao? Perdiems, mafuta, uchakavu na hata risk ya safari kwa viongozi wote kuwa safarini kwa wakati mmoja.
Pia, suala hili limekuwa likipangwa bila kutimia toka enzi za mwalimu, kwakua umedhamiria kupunguza gharama za uendeshaji.
Naamini unauwezo na unadhubutu. Tafadhali fanya hili litokee.
Ahsante sana.
Napenda kumshauri Rais wangu mpendwa wa serikali hii ya awamu ya Tano kuhamisha serikali yake yote kwenda Dodoma.
Hili lina faida, litapunguza gharama na kuharakisha maendeleo ya nchi. Hebu ona Mikutano ya bunge, chama na serikali inavyotugharimu kila uchao? Perdiems, mafuta, uchakavu na hata risk ya safari kwa viongozi wote kuwa safarini kwa wakati mmoja.
Pia, suala hili limekuwa likipangwa bila kutimia toka enzi za mwalimu, kwakua umedhamiria kupunguza gharama za uendeshaji.
Naamini unauwezo na unadhubutu. Tafadhali fanya hili litokee.
Ahsante sana.