Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Tatizo la Tanzania kwa sasa ni uwepo wa mentality ya ''udaku na michambo''.

Watu wanashangilia na kufurahia sana pale ambapo kuna ''udaku na michambo''!

Kuna wengine wanajaribu hata kupindisha ujumbe ili tu wauingize kwenye dhana ya ''mchambo'' kwa matumaini ya kuridhisha matamanio na furaha zao.

Kwa mtu asiyemjua Mzee Kikwete na Rais Magufuli anaweza kukubali kuwa kuna ''masigano'' au kujibidhana!
Watanzania wa Leo wanashangalia sana mtu/watu wakipatwa na majanga/matatizo kwap ni furaha na shangwe
 
JPM wapige tu twende mbele kwani walifisadi sana aisee VIVA Magu

Kitu cha kwanza kitakachofanywa na awamu ya sita ni ukaguzi maalum wa mradi wa ndege! Na kama ufisadi utagundulika itakuwa balaa kwani Ikulu itanyooshewa kidole moja kwa moja. Ufisadi mwingine wote uliofanyika nchi hii Ikulu haijanyooshewa kidole moja kwa moja.
 
Awamu ya tatu ilipoingia madarakani nchi ilikuwa hoi kiuchumi. Kazi kubwa ilifanyika kimya kimya kiasi kwamba baada ya miaka kumi kila raia alikuwa na tabasamu. Serikali haikujisifu na hata wapambe hawakurusiwa kusifu. Ingawa awamu ya nne haikujisifu iliruhusu wapambe kusifu na hapo ndipo tulipoanza kupoteza njia. Kwa mara kwanza tuliona raia wakijiteaua kuwa wasemaji wa serikali! Nadhani sasa tunao maelfu ya waimba sifa wanaolipwa kwa kodi zetu!
Nadhani sasa tunao maelfu ya waimba sifa wanaolipwa kwa kodi zetu! {nimeipenda sana}
 
Mkuu;
Placebo ya kifikra sio mbaya lakini baadaye ukweli utabaki palepale kuwa kilichokuwa kinakufurahisha nafsi yako hakikuwepo kiuhalisia!
Sasa hayo maneno ya kejeli, yaani mtu anaweza kujifurahisha bila sababu ya msingi, una maana awza kuwa chizi sasa.
 
Mzee, huyu Meko amechanganyikiwa. Yani miradi mitatu tu, anaongeeea. Yote mikopo mikubwa mikubwa sana....bado akili haijamkaa sawa huyu.
Pia alijenga viwanda kwa mamia na nyumba za serikali kwa maelfu lakini vyote hivyo viliuzwa kwa bei za kutupa!
 
Huyu bwana ni mshamba sana, Back in the days watu tulisoma bure, hata universities wanafunzi walikula mayai na mikaye na siagi bure, qalisafiri bure,..up until 1995 kama sikosei, university ilikuwa bure sio mkopo na mikopo ilipoanza ilikuwa kwa wote. Sasa huyu anatamba nini haswa?

Anataka ajifananishe na Nyerere ambae hakuwa na wasomi kabisa...walikuwa wakusaka kwa tochi, sasa hivi huyu kajaza wasomi lakini hakuna linalokwenda.

1)hakuna ajira
2)hakuna pay rise
3)hakuna kupandishwa daraja
4)hakuna kujiendeleza
5)sitiluation ya madawa bado ni ileile tena mbaya zaidi vijijini
6)likizo hakuna/hazilipwi
7)uhuru wa kuongea/dreedom of speech hakuna
8)uhuru wa kupata habari sahihi hakuna
9) uhuru wa vyama kinzani umepokwa
10)mihimili imedata...yote inapokea maamuzi ya bwana jiwe
11)upitishwaji wa sheria za kidikteta kwa haraka kwa kutumia NDIYOO ya mbogamboga
12)deni la taifa linasikitisha kwa sasa na tunazidi kukopa
13) the worse of them all, CAG report imetupiliwa mbali na madudu yanajirudia tena ya hatari sana.


Ongeza kwenye list hapo
Kusema sawa lakini KUJIMWABAFAI na vijembe kama vile alipozaliwa hajakuta reli, meli, hospitali, shule, ndege nk hapa tanzania hapana, ni ushamba!
 
Nyinyi Huyo Kibwengo Wa Chato Kawaroga Kabisa.

Eti Umeme Wa 2100, Unahesabu Vipi Vifaranga Wakati Mayai Hayajaanguliwa ?
Hivi wewe uliwahi hata kusoma hisabati na fizikia?
Umeme Wa REA Vijijini Ni Mwendelezo, Wa Msaada Na Wala Haukuanza Awamu Hii.
Umeme wa REA una awamu tatu, awamu iliyoanza ilianza na awamu ya kwanza hii inaendela na ya pili/tatu.
Sasa Huyo Takataka Kuchota Hela Hazina Na Kununua Ndege Zinazotia Hasara Kila Leo Ndo Anaona Bonge La Project ?
Hiyo hasara umeileta wewe? Tuoneshe takwimu.
 
Eti kwanini hayakutokea miaka 30 iliyopita
Eti Nyerere aliacha ndege hazijulikani zilipoenda
Wanananchi wameanza kuchoka na maneno na umwambafai. Kama kweli anataka kujua zilikokwenda... Achimbue makaburi atajua.
 
Acha ushamba.. haya ndio madhara ya kusikiliza TBC1
Mkuu nina miaka zaidi ya 18 sijawahi kusikiliza TBC 1 wewe unayenibishia ndiyo station yako hiyo. Sina hakika kama bbc wanatangaza habari za marais wastaafu wa Marekani. Wakati mwingine kama mtu huna point kukaa kimya si dhambi kuliko kujaza upupu
 
Hivi wewe uliwahi hata kusoma hisabati na fizikia?
Umeme wa REA una awamu tatu, awamu iliyoanza ilianza na awamu ya kwanza hii inaendela na ya pili/tatu.
Hiyo hasara umeileta wewe? Tuoneshe takwimu.
Tumbo Linakudhalilisha Sana, Aisee
 
Imeshatokea mara kadhaa Obama huwa anampinga Trump. Recheck your facts
Najua imetokea mara mbili 2017 akiwa South Africa na 2018 kwenye uchaguzi lakini siyo common na hapo hao wawili si wa chama kimoja. Ningeomba unitajie mmoja aliyemkosoa mwenzake wa chama kimoja
 
Kujenga shule kila kata,ujenzi wa terminal 3, barabara mbalimbali ,daraja la nyerere kigamboni, na ameacha miladi mingine mingi ambayo awamu ya tano anatekeleza kwa sasa.
Jk hakuna alilofanya la maana na nchi hii hairakiwi kumkumbuka kwa lolote acha karma ya fitna na roho mbaya naye imtafune
 
Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!

Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!
Pale baba mwenye nyumba unapoleta ngosha mujini akulindie shamba, Ngosha anakuingiza wewe mujini.

Kuna kitu cha kujifunza hapa. Mshamba asiyejua hata kiswanglish amewaingiza watoto wa Mjini, mujini, kwenye jiji lao wenyewe 🤣🤣🤣🤣
 
Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!

Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!

Anaendeleza 'umwambafai.'
 
Sio kwamba anaundiwa zengwe. JK ni team Membe kutoka unyayoni mpaka kisogoni. Unaweza vipi kumtenganisha Membe na JK?Kabla JK hajawa Rais uliwahi kumsikia Membe wewe kwenye siasa za Tanzania ? JK alipukuwa Rais ndo alimpa Membe unaibu waziri baadae uwaziri kamili. Hata walipomkata Lowassa waliamini Membe atashinda. Ila Mungu siyo Masanja,akashinda mwingine kabisa.
Ndugu, unauhakika huyu Mungu sio Masanja kweli? Maana huyu Ngosha alipenyezaje kweye ule mchakato?
 
Huu ni mnyukano baina ya wanawane/ kanda ya nyanza dhidi ya watanganyika
 
Back
Top Bottom