Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,775
- 50,868
Kinana.Yupo Canada.
😂😂😂
Asante Mkuu sikuipata hii!!! Angetapika tembo wetu wote
Kinana.Yupo Canada.
AiseeKusema sawa lakini KUJIMWABAFAI na vijembe kama vile alipozaliwa hajakuta reli, meli, hospitali, shule, ndege nk hapa tanzania hapana, ni ushamba!
Angalau tulikuwa tunakula Milo mitatu mkuuJk hakuna alilofanya la maana na nchi hii hairakiwi kumkumbuka kwa lolote acha karma ya fitna na roho mbaya naye imtafune
Atulie yamuingie kama sindano.Kuna baadhi ya maneno yanamchoma JK kama sindano!
Majuto ni mjukuu,unajua wasingemkata Lowassa huyu Magufuli hata tano bora asingefika. Watu wa Lowassa walinuna wakakataa kumpigia Membe na wakampigia Magufuli kwa hasira ili wamkomeshe JK.Sasa wanaishia kwenda kuomba misamaha ikulu (Nape),mwingine kakimbia nchi. JK yeye anapiga vijembe. Haisaidii maana JPM tayari ni Rais. Na Rais wa Tanzania ana madaraka yote kama King Suleiman.
Walidhani wangekuwa salama kwa kupanda njiani mibaJPM anawakomesha, wanajuta kumkata Lowassa. Malipo ni hapa hapa duniani.
Hawana la kumfanya mbwa hana jeuri kwa amlishayeMkuu kwani wewe hupendi kufurahisha nafsi yako ?, ni kweli sisi wenginge tunafurahi tunaposikia watu superior kama JK, Pius Msekwa, Jaji Warioba Joseph Sinde, Jaji Samatta nk wanapompasha huyu rais wa sasa na kumkumbusha kufuata sharia, nafsi zetu zinafurahi.
a big NO tena No tusisahau tulikotoka na mchwa wa kikwete!! NO! TENA No!!!I wish 2020 JK achukue fomu, ni kama TZ inamuhitaji tena
Angeachana na yale madogomadogo yanayomuaribia sifa mfano kupambana na wapinzani kelele za chura zikunyime vipi usingizi?Kwa maendeleo Magufuli is the best President japo ana mapungufu yake.
Mchwa wangalipo tofauti ni vichwaa big NO tena No tusisahau tulikotoka na mchwa wa kikwete!! NO! TENA No!!!
Kabisa!JPM anawakomesha, wanajuta kumkata Lowassa. Malipo ni hapa hapa duniani.
wapo lakini IC wanaipata!! shida walienea SANA kila kona kisa uungwana!! sema magu yuko peke yake kama wapo wanamsaidia basi ni kwa mbaali!! ilakini amseti example!! KIKWETE Hapana a big NOOOOOO na hata wa aina yakeMchwa wangalipo tofauti ni vichwa
Watu wanajitekenya na kucheka wenyewe.Duh hivi JPM seriously anaamini kabisa kwamba ndani ya miaka yake minne kaleta maendeleo kuliko miaka 50 ya uhuru?
Mzee msoga na atawabatizeni kwa moto marope wamekumbuka shuka kumekucha walipanda miba njiani.Wanauona thamani ya Eddo sasa asingewalimisha meno kiasi hiki.Wanampoteza Huyo mzeeView attachment 1228895
Akiwa nje ya Ikulu hajiamini.Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!
Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!
Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!
Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!