Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!

Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!
Atuambie hayo madege aliyonunua,ukilinganisha na deni tunalodaiwa,je tumepiga hatua?
Kama unamiriki gari na nyumba,vyenye thamani ya millioni 200,harafu benki inakudai millioni 500,wewe ni maskini na umeishafirisika.
 
Naona bado unabugia unga.....Kikwete hakuwa rais bora hapa nchini. Ni kwa kuwa hujuwi upuuzi alioufanya ndiyo maana unaongea pumba. Si kosa lako.
wewe ni mjinga,mtu kajenga barabara zaidi ya 10000km,kajenga UDOM,hospital dodoma(benjamin mkapa hospital),kapandisha mishahara zaidi ya 80%,watumishi walipanda madaraja,udahili elimu ya juu zaidi ya watu laki kwa mwaka,kaboresha muhimbili,kilimo kwanza(katoa sana ruzuku kwa pembejeo)...biashara zilifanyika kwa faida,nchi ilijengeka kwa kasi,leo uniambie alikua raisi wa hovyo,unataka nitukuze watu ambaoa unga wa sembe ulipatikana kwa foleni,nchi haikupitika masika,toka mwanza kwenda dar tukipitia uganda na kenya,biashara hazifanyiki,hata uhuru wa kutoa maoni ni shida...kadanganye wajinga wenzio
 
Sisi wananchi tunajua kinachoendelea. Nchi hii haijawahi kuwa na udikteta kama uliopo kwa miaka minne ya jiwe
 
Mkwere alimtolea makavu mjomba jiwe kuwa tabia ya kujimwambafai si tabia ya kiongozi bora,nae jiwe jana kamjibu kwa data kuwa tangu nchi ianze kulilijengwa zahanati 70 lakini yeye ndani ya miaka minne kajenga zahanati zaidi ya 300.hii takwimu si ya kuichgukulia poa.,Magu alisahau jambo moja kuwa tangu nchi hii ianze umeme ulikuwa unakatika katika lakini sasa unakatika kwa taarifa maalumuna kwa muda maalumu,umeme umekuwa wa uhakika.Huyu jamaa akikaa miaka kumi kuna mambo itakuwa historia.Povu mpaka matapishi ruksa
Akili ya kuambiwa changanya na yako. Tangu uhuru tumejenga zahamati 70 tu? Kumbuka kila tarafa ya Tanzania ina kituo cha afya na kila kata ina zahanati.
Jiulize Tanzania kuna kata ngapi?
 
Tatizo Magu ni mwongo sana . Mfano viwanda 4000 viko wapi . sasa hizo zahanati tutaaminije . kuna sehemu kazindua Barabara ilojengwa wakati wa mkwere . kuna siku alidanganya eti wakati anaingia madarakani alikita sukari kilo 5000. Sio wa kumwamini sana huyo enyi waimba pambio wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swali zuri. Nilishangaa Majuzi Siro anatoa shikamoo... Tena live on TV.
Mimi mwenyewe nilibaki hoi. Hii inanikumbusha kijana mmoja baada ya kumwagia milioni baba yake ambaye hakuwahi kuishika maishani mwake. Aliishia kumwamkia shikamoo mwanaye
 
Kinyerezi imeanza majuzi hapa. Umeme tangu magu aingie alikaa kidogo akawachimba biti akatia ndani wahujumu wa umeme mambo yakawa powa. Mpeni haki yake JPM.
Akaondoa 3000 ya mita,na kushusha being ya umeme.Wabongo wanasahau haraka.
 
yeye afanye yote mazuri ila ajue kuwa ni wajibu wake kuyafanya, asidhani anatufanyia hisani wakati analipwa na kukaa ikulu ili afanye kazi.
 
Kusema kulikuwa na zahanati 70 hata mwendawazimu hawezi kuikubali hiyo taarifa. Huyu amezoea siasa za hadaa.
 
Hospital ya mloganzila tu inashinda thamani hizo zahanati zako zisizo na vifaa tiba zaidi ya kuwa na drip za maji na panadol mseto
Mkwere alimtolea makavu mjomba jiwe kuwa tabia ya kujimwambafai si tabia ya kiongozi bora,nae jiwe jana kamjibu kwa data kuwa tangu nchi ianze kulilijengwa zahanati 70 lakini yeye ndani ya miaka minne kajenga zahanati zaidi ya 300.hii takwimu si ya kuichgukulia poa.

Magu alisahau jambo moja kuwa tangu nchi hii ianze umeme ulikuwa unakatika katika lakini sasa unakatika kwa taarifa maalumuna kwa muda maalumu,umeme umekuwa wa uhakika.Huyu jamaa akikaa miaka kumi kuna mambo itakuwa historia.
 
Mkwere alimtolea makavu mjomba jiwe kuwa tabia ya kujimwambafai si tabia ya kiongozi bora,nae jiwe jana kamjibu kwa data kuwa tangu nchi ianze kulilijengwa zahanati 70 lakini yeye ndani ya miaka minne kajenga zahanati zaidi ya 300.hii takwimu si ya kuichgukulia poa.

Magu alisahau jambo moja kuwa tangu nchi hii ianze umeme ulikuwa unakatika katika lakini sasa unakatika kwa taarifa maalumuna kwa muda maalumu,umeme umekuwa wa uhakika.Huyu jamaa akikaa miaka kumi kuna mambo itakuwa historia.
We huna akili abisa. Hujui kila kitu huja kwa wakati wake. We unajua jk alifanya magapi mazuri! Aliajiri kila kijana aliyehitimu masomo lakini Sasa hivi kila kitu ni uozo na baadhi ya makampuni yanazidi kupunguza tu wafanyakazi. Kwa jk kila kijana aliysoma ualimu na udaktari aliajiliwa labda yeye mwenyewe asitake tu. Sasa hivi nani anaajiliwe. Unataka kumlinganisha jk na huyu mwehu mprnda masifa tu
 
Mkwere alimtolea makavu mjomba jiwe kuwa tabia ya kujimwambafai si tabia ya kiongozi bora,nae jiwe jana kamjibu kwa data kuwa tangu nchi ianze kulilijengwa zahanati 70 lakini yeye ndani ya miaka minne kajenga zahanati zaidi ya 300.hii takwimu si ya kuichgukulia poa.

Magu alisahau jambo moja kuwa tangu nchi hii ianze umeme ulikuwa unakatika katika lakini sasa unakatika kwa taarifa maalumuna kwa muda maalumu,umeme umekuwa wa uhakika.Huyu jamaa akikaa miaka kumi kuna mambo itakuwa historia.
Dogo uchumi ume paralyze we unaishi nchi gani? Hizo takwimu feki zisikutie uchizi, uchumi ukikua kwa kiwango kizuri, hizo dispensary ni kitu kidogo sana
 
Back
Top Bottom