Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
13,221
Reaction score
20,573
Amesema ataendelea kusema kuwa maendeleo yaliyofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!

Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!
 
Tatizo la Tanzania kwa sasa ni uwepo wa mentality ya ''udaku na michambo''.

Watu wanashangilia na kufurahia sana pale ambapo kuna ''udaku na michambo''!

Kuna wengine wanajaribu hata kupindisha ujumbe ili tu wauingize kwenye dhana ya ''mchambo'' kwa matumaini ya kuridhisha matamanio na furaha zao.

Kwa mtu asiyemjua Mzee Kikwete na Rais Magufuli anaweza kukubali kuwa kuna ''masigano'' au kujibidhana!
 
Tatizo la Tanzania kwa sasa ni uwepo wa mentality ya ''udaku na michambo''.

Watu wanashangilia na kufurahia sana pale ambapo kuna ''udaku na michambo''!

Kuna wengine wanajaribu hata kupindisha ujumbe ili tu wauingize kwenye dhana ya ''mchambo'' kwa matumaini ya kuridhisha matamanio na furaha zao.

Kwa mtu asiyemjua Mzee Kikwete na Rais Magufuli anaweza kukubali kuwa kuna ''masigano'' au kujibidhana!
Kuna baadhi ya maneno yanamchoma JK kama sindano!
 
Tatizo la Tanzania kwa sasa ni uwepo wa mentality ya ''udaku na michambo''.

Watu wanashangilia na kufurahia sana pale ambapo kuna ''udaku na michambo''!

Kuna wengine wanajaribu hata kupindisha ujumbe ili tu wauingize kwenye dhana ya ''mchambo'' kwa matumaini ya kuridhisha matamanio na furaha zao.

Kwa mtu asiyemjua Mzee Kikwete na Rais Magufuli anaweza kukubali kuwa kuna ''masigano'' au kujibidhana!
Mkuu kwani wewe hupendi kufurahisha nafsi yako ?, ni kweli sisi wenginge tunafurahi tunaposikia watu superior kama JK, Pius Msekwa, Jaji Warioba Joseph Sinde, Jaji Samatta nk wanapompasha huyu rais wa sasa na kumkumbusha kufuata sharia, nafsi zetu zinafurahi.
 
Back
Top Bottom