Jk ni bora kwwenye hekima ya uongozi shida alishindwa wadhibiti wezi.Kuwepo kwa demokrasia sio uhuru Wa kila kitu hadi upigaji hata nchi za demokrasia ukipiga wananyooka na wewe in positive ways pia wao wameelimika na kustaarabika huwezi kuta mkandarasi anaendekeza ubinafsi wa kupiga kuliko kuangalia faida kwa jamii, unakuta eti ki karavati akifiki hata milioni 2 bajeti yake kimetumia milioni 70.Tukidhibiti upotevu fedha za umma tutafika.wapo lakini IC wanaipata!! shida walienea SANA kila kona kisa uungwana!! sema magu yuko peke yake kama wapo wanamsaidia basi ni kwa mbaali!! ilakini amseti example!! KIKWETE Hapana a big NOOOOOO na hata wa aina yake