Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru! Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa dispensaries, barabara, elimu bure nk!
Kusema sawa lakini KUJIMWABAFAI na vijembe kama vile alipozaliwa hajakuta reli, meli, hospitali, shule, ndege nk hapa tanzania hapana, ni ushamba!
 
Ndugu Zangu Mniamini Niwafanyizie Kazi Maendeleo Hayana Chama
 
Mkuu kwani wewe hupendi kufurahisha nafsi yako ?, ni kweli sisi wenginge tunafurahi tunaposikia watu superior kama JK, Pius Msekwa, Jaji Warioba Joseph Sinde, Jaji Samatta nk wanapompasha huyu rais wa sasa na kumkumbusha kufuata sharia, nafsi zetu zinafurahi.
Mkuu;
Placebo ya kifikra sio mbaya lakini baadaye ukweli utabaki palepale kuwa kilichokuwa kinakufurahisha nafsi yako hakikuwepo kiuhalisia!
 
Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!

Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa dispensaries, barabara, elimu bure nk!


Yeye aliwekeza kwa Ritz akasahau taifa, amwache mwenzake naye awekeze panapostahili tofauti ionekane
 
Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!

Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa dispensaries, barabara, elimu bure nk!
Nyerere na mjerumani walishayafanya hayo ccm ikaviua
 
Mzaramo wivu tu unamsumbua hana lolote na maneno take ya kwenye kanga sisi hatujali, enzi zake alikula bata ndani na nje ya nchi na kundi lake kina manji, rostam Aziz, Seth, ndio walikuwa watu wake akwende zake huko hatuna ham nae
 
Back
Top Bottom