Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,711
Acha ushamba.. haya ndio madhara ya kusikiliza TBC1
Watangulizi wanatakiwa wakae kimya. Huko USA rais ukimaliza muda wako mara nyingi hutakiwi kulumbana na iyeko madarakani. Trump anamchamba Obama kila kukicha lakini hamjibu. Kama ulishindwa kutimiza wakati ukiwa madarakani basi acha aliyepi afanye kazi bila kuingiliwa