Maendeleo hayakuanza leo, tangu uhuru nchi inapiga hatua, nani anabisha?Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!
Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!
Haaahaaa...wanahaha watapataje ulaji waliokuwa wanagombania.
JPM ndo dawa yetu
I wish 2020 JK achukue fomu, ni kama TZ inamuhitaji tena
Akina Kinana na Nape yalianzaga kwa kauli za jumla kama za Jk mkuu, watu wakitafsiri wanaambiwa wametafsiri vibaya, kumbe kulikuwa na moto unafukuta chini kwa chiniHivi JK kamsema JPM au ni sisi ndo tunatafsiri kuwa JK kamsema JPM?
Maneno ya JK ni ya jumla kila mmoja anaweza kuystsfsiri anavyoona
Umeona like yangu huko?JPM anawakomesha, wanajuta kumkata Lowassa. Malipo ni hapa hapa duniani.
JPM anawakomesha, wanajuta kumkata Lowassa. Malipo ni hapa hapa duniani.
Yule mzee alitia huruma sana pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Kitu pekee nilichompendea JPM ni kutochagua upande, kuna uwezekano pia alikuwa anamkubali sana Lowassa. |
Mwaka kesho pogba na kikwete wakichukua form za kugombea Urais.Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!
Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!
Akili za kipumbavuDuh hivi JPM seriously anaamini kabisa kwamba ndani ya miaka yake minne kaleta maendeleo kuliko miaka 50 ya uhuru?
Mke au tigo yakeNingeshangaa kama usingejitokeza mheshimiwa motochini.
Kwa magu waweza hata kuweka rehani mke
wajute tu watatusaidia sana 2020JPM anawakomesha, wanajuta kumkata Lowassa. Malipo ni hapa hapa duniani.
Itakuwa vita ya 3 ya duniaI wish 2020 JK achukue fomu, ni kama TZ inamuhitaji tena
Jpm amefanya kipi cha maana ?hadi sasa historia ya maendeleo ya Tanzania itamtambua Mwl. J.K Nyerere na JPM tuu
Tatizo la Tanzania kwa sasa ni uwepo wa mentality ya ''udaku na michambo''.
Watu wanashangilia na kufurahia sana pale ambapo kuna ''udaku na michambo''!
Kuna wengine wanajaribu hata kupindisha ujumbe ili tu wauingize kwenye dhana ya ''mchambo'' kwa matumaini ya kuridhisha matamanio na furaha zao.
Kwa mtu asiyemjua Mzee Kikwete na Rais Magufuli anaweza kukubali kuwa kuna ''masigano'' au kujibidhana!
Imeshatokea mara kadhaa Obama huwa anampinga Trump. Recheck your factsWatangulizi wanatakiwa wakae kimya. Huko USA rais ukimaliza muda wako mara nyingi hutakiwi kulumbana na iyeko madarakani. Trump anamchamba Obama kila kukicha lakini hamjibu. Kama ulishindwa kutimiza wakati ukiwa madarakani basi acha aliyepi afanye kazi bila kuingiliwa
Nzuri Sana mama D nasio kuisoma tu watachora chiniHeheee Victoire wacha waisome namba
Hawa watu bongo zao zilishanyofolewa pale lumumba. Vichwa vyao vimebaki empty tuKabla ya uchaguzi, wewe si ndiye uliyekuwa unamfagilia sana huyu JK, na kuwaponda kwa kila jina baya waliokuwa wanamsema vibaya?
Wewe na Lemutuz hamna tofauti.