Rais Magufuli aivunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala

Dsm ilikuwa inaundwa na manispaa nne Kinondoni, Ilala, Ubungo na Kigamboni
halmashauri ya jiji la dsm ilikuwa inasimamia halmashauri za manispaa zote nne lkn haina eneo lake rasmi la kiutawala, halmashauri ilikuwa na uwezo kuuchukua mradi wowote katika manispaa yyte na kuendeleza na kugawana manispaa inayopatikana mradi kwa utaratibu maalum
hvyo alichokifanya ni sahihi tu
Naomba msaada wa kueleweshwa hapa wakuu, hii ina maana gani na itakuwa na tofauti gani na ilivyokuwa mwanzo, pia faida zake hasa kwa sisi tunaoishi kwenye hilo Jiji linaloitwa Ilala kwa Sasa?
Msaada pls hapa nimestuck.
Sijaelewa tafsiri ya uvunjaji huo ...nini maana yake kusema ilala ndio jiji la dar es salaam
 
Hapa tunashindwa kuelewa, kwa mfano Mwanza mjini (kati) kuna wilaya mbili ambazo ni Nyamagana na Ilemela.
Ilemela imepewa hadhi ya kuwa manispaa ya Ilemela, lakini hakuna Manispaa ya Nyamagana badala yake Nyamagana imebeba hadhi ya Jiji la Mwanza.
Katika matukio yote ukisikia wanaongea jiji la Mwanza maana yake wanaongelea wilaya ya Nyamagana na sio mkoa wote.
 
Hapa tunashindwa kuelewa, kwa mfano Mwanza mjini (kati) kuna wilaya mbili ambazo ni Nyamagana na Ilemela.

Ilemela imepewa hadhi ya kuwa manispaa ya Ilemela, lakini hakuna Manispaa ya Nyamagana badala yake Nyamagana imebeba hadhi ya Jiji la Mwanza.

Katika matukio yote ukisikia wanaongea jiji la Mwanza maana yake wanaongelea wilaya ya Nyamagana na sio mkoa wote.
 
Rais Magufuli amevunja halmashauri ya jiji la Dar es salaam na kuipandisha hadhi halmashauri ya manispaa ya Ilala kuwa jiji la Dar es salaam.

Source ITV habari
Tusipotezeane muda na wala tusibishe kwa hili Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yupo sahihi kwani Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania vile vile. Na hata Watoto wa Mjini wote wapo Ilala na siyo Kwingineko ambako kumejaa tu Washamba na Malofa watupu japo wenyewe ( wao ) wanajiona Wajanja.
 
Dsm ilikuwa inaundwa na manispaa nne kinondoni,ilala,,ubungo na kigamboni
halmashauri ya jiji la dsm ilikuwa inasimamia halmashauri za manispaa zote nne lkn haina eneo lake rasmi la kiutawala,halmashauri ilikuwa na uwezo kuuchukua mradi wowote katika manispaa yyte na kuendeleza na kugawana manispaa inayopatikana mradi kwa utaratibu maalum
hvyo alichokifanya ni sahihi tu
Vipi kuhusu Temeke?
Yenyewe haikuwa inaunda jiji la Dar?
Naona hujaitaja hapo?
 
Rais Magufuli amevunja halmashauri ya jiji la Dar es salaam na kuipandisha hadhi halmashauri ya manispaa ya Ilala kuwa jiji la Dar es salaam.

Source ITV habari
Ndugu zangu Wachagga hapo Kimara walikuwa wanaaga kila January kuwa wanarudi jijini Dar sasa watakuwa wanaenda Wilaya ya Ubungo wakati ndugu zao pale Moshi watakuwa jijini soon
 
Dsm ilikuwa inaundwa na manispaa nne kinondoni,ilala,,ubungo na kigamboni
halmashauri ya jiji la dsm ilikuwa inasimamia halmashauri za manispaa zote nne lkn haina eneo lake rasmi la kiutawala,halmashauri ilikuwa na uwezo kuuchukua mradi wowote katika manispaa yyte na kuendeleza na kugawana manispaa inayopatikana mradi kwa utaratibu maalum
hvyo alichokifanya ni sahihi tu
Kwahiyo kale ka Mbeya au Ka Dodoma kuwa jiji ni sawa huku Temeke ikiwa manispaa. Unajua mapato ya Temeke wewe? Unaweza kuyalingalisha na ya Mbeya mjini ambayo ni jiji?
 
Tusipotezeane muda na wala tusibishe kwa hili Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yupo sahihi kwani Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania vile vile. Na hata Watoto wa Mjini wote wapo Ilala na siyo Kwingineko ambako kumejaa tu Washamba na Malofa watupu japo wenyewe ( wao ) wanajiona Wajanja.

Hii ndio sababu Dar itaendelea kumilikiwa na wageni maana wenyeji a.k.a "born here here" wamebakia kujisifu kujua historia ya jiji, mitaa na sehemu za bata huku wakinga waliotokea Njombe vijijini wakitengeneza dollars...
 
Kigamboni, Kinondoni, Ubungo na Temeke sasa zitabaki kuwa na hadhi gani na kisheria maeneo ya Dar es Salaam ambayo siyo jijini ina maana gani kisheria na wajibu wa wakaazi walioondolewa kutambulika kama wapo ktk jiji la Dar es Salaam kubwa la zamani?

..... ... . ................ ....... ....... ....... ........

13 Feb 2017

Mpango wa Kuendeleza Jiji la Dar es salaam miundombinu Ilala, Temeke na Kinondoni(BRT mpya )​

Huu ni mpango wa kuendeleza mji wa Dar es salaam ambao utajumuisha kujenga miundombinu katika mainispaa ya Temeke,Ilala na Kinondoni.
 

Attachments

  • 1614188459883.png
    1614188459883.png
    492 bytes · Views: 1
Hii ndio sababu Dar itaendelea kumilikiwa na wageni maana wenyeji a.k.a "born here here" wamebakia kujisifu kujua historia ya jiji, mitaa na sehemu za bata huku wakinga waliotokea Njombe vijijini wakitengeneza dollars...
Mliokuja Dar es Salaam na Malori ya Ng'ombe pamoja na Treni za Mizigo kutokea Mikoani ( tena Vijijini kabisa ) wala huwa hamjifichi. Washamba wakubwa nyie. Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania hutaki tafuta Sumu ya Panya ikoroge, uinywe ili Ufe kabisa.
 
Back
Top Bottom