ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,053
- 49,737
Mkuranga: Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga wamepitisha Azimio la Kuomba Serikali kuipandisha hadhi Wilaya hiyo kuwa Manispaa Kwa kile walichodai kwamba Wilaya Yao imetimiza vigezo.
Baadhi ya vigezo wanavyojinasibu kwao ni idadi ya watu na ukusanyaji Mapato.
My Take
Serikali ipitie Upya vigezo vya Miji.kupata hadhi ya Manispaa Kwa kuhakikisha wawe na uwezo wa kujitegemea kibajeti Kwa walau 60% na idadi ya watu zaidi ya 350,000 Kwa pamoja na sio kama ilivyo Sasa ambapo vigezo ni loose.
Matokeo ya sensa 20222
====
(๐๐ฆ๐๐๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐ ๐๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐๐ญ๐ก ๐๐ค๐ข๐ซ๐๐ซ๐ข, ๐๐๐๐๐๐๐๐)
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani wamepitisha ombi la Halmashauri hiyo kupandishwa hadhi kuwa Manispaa.
Wamepitisha ombi hilo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika Februari 14 ambapo wamwsema wamejipima vigezo vinavyostahili kupandishwa hadhi kuwa Manispaa na kubaini kuwa wanakidhi ikiwemo idadi ya wananchi ambao kwa sasa wako zaidi ya laki tano.
Wamesema Halmashauri hiyo Ina vigezo vya kuwa Manispaa, ikiwemo idadi ya watu huku wakielwza kwamba wakati Halmashauri hiyo inaanzishwa mwaka 2000 kulikuwa na Kata 15 na sasa tuna Kata 25.
Ametaja faida watakazonufaika nazo iwapo ombi hilo litapitushwa na TAMISEMI kuwa ni pamoja na kutengewa bajeti kubwa kutoka Serikalini ambayo itakuwa inawesesha kutekelezร miradi mikubwa itakayotatua vikwazo kwa wananchi
Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Waziri Kombo amesema kuwa moja ya vigezo vinavyoweza kuwapa uwezekano wa kupata manispaa ni makusanyo ya mapato ambapo katika robo ya pili ya mwaka 2023/2024 wamekusanya sh.6.5 bilioni kati ya bajeti ya sh 13 bilioni
Kombo ametaja vigezo vingine kuwa ni uwepo wa huduma za kijamii Taasisi zinazotoa huduma za pesa uwepo wa viwanda viwanda na uwezo wa Halmashauri kujitegemea kwa asilimia 25 kwa bajeti.
#NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari
Baadhi ya vigezo wanavyojinasibu kwao ni idadi ya watu na ukusanyaji Mapato.
My Take
Serikali ipitie Upya vigezo vya Miji.kupata hadhi ya Manispaa Kwa kuhakikisha wawe na uwezo wa kujitegemea kibajeti Kwa walau 60% na idadi ya watu zaidi ya 350,000 Kwa pamoja na sio kama ilivyo Sasa ambapo vigezo ni loose.
Matokeo ya sensa 20222
====
(๐๐ฆ๐๐๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐ ๐๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐๐ญ๐ก ๐๐ค๐ข๐ซ๐๐ซ๐ข, ๐๐๐๐๐๐๐๐)
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani wamepitisha ombi la Halmashauri hiyo kupandishwa hadhi kuwa Manispaa.
Wamepitisha ombi hilo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika Februari 14 ambapo wamwsema wamejipima vigezo vinavyostahili kupandishwa hadhi kuwa Manispaa na kubaini kuwa wanakidhi ikiwemo idadi ya wananchi ambao kwa sasa wako zaidi ya laki tano.
Wamesema Halmashauri hiyo Ina vigezo vya kuwa Manispaa, ikiwemo idadi ya watu huku wakielwza kwamba wakati Halmashauri hiyo inaanzishwa mwaka 2000 kulikuwa na Kata 15 na sasa tuna Kata 25.
Ametaja faida watakazonufaika nazo iwapo ombi hilo litapitushwa na TAMISEMI kuwa ni pamoja na kutengewa bajeti kubwa kutoka Serikalini ambayo itakuwa inawesesha kutekelezร miradi mikubwa itakayotatua vikwazo kwa wananchi
Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Waziri Kombo amesema kuwa moja ya vigezo vinavyoweza kuwapa uwezekano wa kupata manispaa ni makusanyo ya mapato ambapo katika robo ya pili ya mwaka 2023/2024 wamekusanya sh.6.5 bilioni kati ya bajeti ya sh 13 bilioni
Kombo ametaja vigezo vingine kuwa ni uwepo wa huduma za kijamii Taasisi zinazotoa huduma za pesa uwepo wa viwanda viwanda na uwezo wa Halmashauri kujitegemea kwa asilimia 25 kwa bajeti.
#NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari