Rais Kikwete kuongoza maziko ya Regia Mtema!

JK alipiga safari kutoka Namibia kuwahi mazishi ya Sheik Yahya halafu unategemea akose haya??? Hivi Mazishi ya yule mbunge wa CDM Musoma (Sijui Wange) alihudhuria pia??
 
Duh.....! Unazi mpaka kwenye misiba Rais ndo zaidi ya wote hawana ubavu huo hata cku moja kaka lazima ye ndo ashine
Viongozi wa CDM waliangalie hiklo, JK anatafuta kujikweza hapa baada ya mambo mengi ya nchi kumshinda. CDM wasimruhusu JK ku-steal the show katika shughuli hiyo na wajaribu kumbana kidogo aonekane kama ni muombolezaji wa kawaida tu. CDM wajitahidi kuonyesha kwamba huu msiba ni wa familia ya Regia, Chadema na Bunge, kwa mpangilio huo.
 
I still don't see what/where the problem is!
There isn't any problem, there is a "Yes But..." kama ulisnisoma vyema...

@ Mr Zero, sidhani kama alikwenda kwenye yale ya Wangwe, kama unakumbuka polisi walitumika kuangusha jeneza la marehemu na vurugu nyingine, kisa ni siasa, ila wengi wetu haiwaingii akilini hiyo lol!

Maybe ni tatizo la usahaulifu?
 
Kwenda kwenye misiba kama hiyo ingekuwa sawa na utendaji kwa maslahi ya Taifa basi tungekuwa mbali sana!

Haya mambo ya kisiasa si sawa na mambo ya kifamilia, tunataka kuona ushirikiano bora kati ya viongozi kwenye kutuletea maendeleo, na hayo mengine ya msiba, harusi nk, yatakuwa ya ziada tu.

Hii PR yote ni kwasababu wanataka tu kunufaika kisiasa mbele ya macho ya watanzania, lakini ukweli uko wazi, wangekuja pamoja nyakati zote na si za msiba tu.

Hapo ndo msimamo wangu ulipo, kwamba amekwenda na ni jambo jema, yes, but...
Nakuunga mkono ushirikiano uwe muda wote hasa hasa kwa kushirikiana kuleta maendeleo sio misibani tu huu ni unafiki na ninauchukia.
 
Anyway, some things go and come with the territory. You are damned if you do and damned if you don't. At the end of the day one's got to do what one's got to do.
 
Culture za wenzetu zimeshageuka ila sisi tunarudi nyuma, wezetu wanasaidiana kwenye issue za maendeleo zaidi tu ya misiba na harusi pekee, hiyo spirit hatuna!

Kwa wenzetu hata jirani akifiwa sometimes unaweza usijue, lakini tatizo la kijamii likiwepo lazima ujuwe, sisi tuko opposite!
 
Sijawahi kumsikia kumwona JK akiwa benet na msiba,kama ambavyo amefanya sasa me najiuliza anatafuta nini?
 
Natoa Pole Sana kwa Wafiwa wote wa Msiba huu. Nadhani Marehemu Regia anastahili kupata heshima hii ya maziko Kitaifa.
 
Wanabodi,
Tuendelee kupeana pole kwa msiba huu wa Regia, Rais Jakaya Kikwete, atawaongoza umma wa Watanzania katika maziko ya mpendwa na shujaa wetu Regia Mtema yatakayofanyika Ifakara siku ya Jumatano.

Kwa mujibu wa ratiba ya ziara ya rais Kikwete mkoani Morogoro, ratiba hiyo inaonyesha rais Kikwete atahudhuria maziko hayo siku ya Jumatano.

Shujaa mmoja akifa nchi utetemeka...kwa hili napata faraja sana,na kwa kweli napata nguvu ya kusimama na hata kusema kuwa "Tumepoteza shujaa,nchi yote imetetemeka"
 
Ibada ya mazishi ya kamanda Regia itaongozwa na Paroko/Padre au Askofu wa Kanisa Katoliki.Baba,Mama Dada,Bibi,Viongozi wa CDM na Rais Kikwete pamoja na viongozi wengine wa Chama na Serekali watahudhuria katika Ibada ya mazishi ya mpendwa wetu Regia.


Ngongo,

Huu ndio ukweli wa mambo. Kama Regia angekuwa muislamu ningeweza kukubaliana na wanaosema JK ndiye ataongoza mazishi, huenda anayo daraja ya uislam inayompa uwezo wa kufanya hivyo.

Btw, ninamuunga mkono kwa uamuzi wa kuhudhuria mazishi ya marehemu Mh. Regia. Msiba wa marehemu Chacha Wangwe hakuhudhuria, hivyo watu wengi hawakupendezewa.
 
Hata mie nimejiuliza hilo swali.

Labda wajuvi watuambie ni viongozi gani walifika kwenye mazishi ya Chacha Wangwe.
JK alipiga safari kutoka Namibia kuwahi mazishi ya Sheik Yahya halafu unategemea akose haya??? Hivi Mazishi ya yule mbunge wa CDM Musoma (Sijui Wange) alihudhuria pia??
 
Culture za wenzetu zimeshageuka ila sisi tunarudi nyuma, wezetu wanasaidiana kwenye issue za maendeleo zaidi tu ya misiba na harusi pekee, hiyo spirit hatuna!

Kwa wenzetu hata jirani akifiwa sometimes unaweza usijue, lakini tatizo la kijamii likiwepo lazima ujuwe, sisi tuko opposite!

Sio lazima tuwe kama wao kwenye kila kitu.

Jambo la kufarijiana katika misiba ni jambo jema sana. Na kufarijiana kwenye misiba si kurudi nyuma.
 
Sio lazima tuwe kama wao kwenye kila kitu.

Jambo la kufarijiana katika misiba ni jambo jema sana. Na kufarijiana kwenye misiba si kurudi nyuma.
Ni kurudi nyuma kama ni misiba peke yake na huku issue za kimaendeleo hatumo, again take your time and read, nimesema "Yes But..."

Culture yetu ya kujidai misibani na maharusini peke yake mimi siifagilii hata chembe.

Na huu unafiki wa kusema si lazima tufanane kwenye kila kitu na wakati ukiufuata ubepari ndo hizi confusions...?

Kama tunachagua some cultures, basi i am sorry kusema tunazichagua zile mbovu zaidi...
 
Ni kurudi nyuma kama ni misiba peke yake na huku issue za kimaendeleo hatumo, again take you're and read, nimesema "Yes But..."

Culture yetu ya kujidai misibani na maharusini peke yake mimi siifagilii hata chembe.

Na huu unafiki wa kusema si lazima tufanane kwene kila kitu na wakati ukiufuata ubepari ndo hizi confusions...?

Kama tunachagua some cultures, basi i am sorry kusema tunazichagua zile mbovu zaidi...

Hakuna ubaya wowote ule kufarijiana katika misiba! None, zero, zilch, nada!

Ni hoja ya kulazimisha tu hiyo.
 
Back
Top Bottom