Rais Kikwete kuongoza maziko ya Regia Mtema!

Rais Kikwete kuongoza maziko ya Regia Mtema!

Watu wengine bwana sijui wakoje..........Tunakushukuru sana JK kwa uamuzi wako wa kuhudhuria mazishi ya Dada yetu mpendwa Regia (RIP)
 
Sio lazima tuwe kama wao kwenye kila kitu.

Jambo la kufarijiana katika misiba ni jambo jema sana. Na kufarijiana kwenye misiba si kurudi nyuma.

NN,

Kwa siasa za nchi hii, sitoshangaa kusikia ccm na serikali yake wanajitafutia credit kwa kuongoza mazishi ya marehemu mh. Regia.

Na hii ndiyo tofauti ya sisi na wao, na tunapoiga basi mara nyingi tunaiga ya kijinga na kuacha ya maana.
 
NN,

Kwa siasa za nchi hii, sitoshangaa kusikia ccm na serikali yake wanajitafutia credit kwa kuongoza mazishi ya marehemu mh. Regia.

Na hii ndiyo tofauti ya sisi na wao, na tunapoiga basi mara nyingi tunaiga ya kijinga na kuacha ya maana.
Usijisumbuwe, kuna some stuff wont get in...
 
NN,

Kwa siasa za nchi hii, sitoshangaa kusikia ccm na serikali yake wanajitafutia credit kwa kuongoza mazishi ya marehemu mh. Regia.

Na hii ndiyo tofauti ya sisi na wao, na tunapoiga basi mara nyingi tunaiga ya kijinga na kuacha ya maana.

Wakifanya hivyo basi nitawaona hawana akili kabisa! Lakini kama wanashiriki kwa nia njema ya kuwafariji wafiwa sioni sababu yoyote ile ya kuanza kukosoa.

Ili mradi hawajafanya hivyo hatuwezi kuanza ku second guess their intentions.
 
Teh teh teh...

Nani kasema wana akili?

Wewe ndo unavyofikiri?
 
INVISIBLE,nadhani wakati wa mazishi,JF itakuwa na members huko ifakara wana tu update live-naomba mida hiyo posting na thread zingine zote ziwe paused/frozen untill mazishi yatakapo kamilika
 
Wakifanya hivyo basi nitawaona hawana akili kabisa! Lakini kama wanashiriki kwa nia njema ya kuwafariji wafiwa sioni sababu yoyote ile ya kuanza kukosoa.

Ili mradi hawajafanya hivyo hatuwezi kuanza ku second guess their intentions.

NN,

Bado tuna kumbukumbu ya yaliyojiri baada ya kifo cha marehemu Mh. Chacha Wangwe ndio maana kila kinachofanywa na ccm na serikali yake tunakitazama kwa tahadhari zote.
 
NN,

Bado tuna kumbukumbu ya yaliyojiri baada ya kifo cha marehemu Mh. Chacha Wangwe ndio maana kila kinachofanywa na ccm na serikali yake tunakitazama kwa tahadhari zote.

Ndiyo maana hapo awali nikasema, some things go/come with the territory! No matter what one does or doesn't, they are damned. Damned if you do, damned if you don't.
 
You are such an a-hole :lol::lol:

Now I know you will start foaming at the mouth.


NN,

Kuna thread nilikuwa nasoma, jamaa akawa anasema yeye anajibu pumba kwa pumba, moto kwa moto, hoja kwa hoja na jiwe kwa jiwe. Bila shaka huko ndiko mnataka kuelekea na JMushi1.

Twendeni taratibu wakuu, bado hata hatujampumzisha mwenzetu, tujitahidi kujizuia japo kwa kipindi hiki kifupi.
 
Kwani JK alikuwa bosi wa marehemu au,ataongozaje mazishi,labda huko kuhudhuria..
 
NN,

Kuna thread nilikuwa nasoma, jamaa akawa anasema yeye anajibu pumba kwa pumba, moto kwa moto, hoja kwa hoja na jiwe kwa jiwe. Bila shaka huko ndiko mnataka kuelekea na JMushi1.

Twendeni taratibu wakuu, bado hata hatujampumzisha mwenzetu, tujitahidi kujizuia japo kwa kipindi hiki kifupi.

Haya naachana naye huyo maana kanizidi akili na werevu (source: yeye mwenyewe).

Turudi kwenye mada. Bado kabisa sijauona ubata wa JK kushiriki katika msiba wa marehemu Regia. Nishawishi basi ili nami niuone huo ubaya.
 
Mwacheni Rais awakilishe nchi yk jmani sidhani kama kuna tatizo...tuache itikadi za kisiasa
 
Back
Top Bottom