jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Huko siendi tena mkuu, huwa ananivutia huko, mimi nimegunduwa ni too low, asipoelewa huwa nampotezea, lakini kuogopa mtu kamwe siogopi.NN,
Kuna thread nilikuwa nasoma, jamaa akawa anasema yeye anajibu pumba kwa pumba, moto kwa moto, hoja kwa hoja na jiwe kwa jiwe. Bila shaka huko ndiko mnataka kuelekea na JMushi1.
Twendeni taratibu wakuu, bado hata hatujampumzisha mwenzetu, tujitahidi kujizuia japo kwa kipindi hiki kifupi.
Akitaka hoja atapata, akitoka out namwacha aende...