Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Tuendelee kupeana pole kwa msiba huu wa Regia, Rais Jakaya Kikwete, atawaongoza umma wa Watanzania katika maziko ya mpendwa na shujaa wetu Regia Mtema yatakayofanyika Ifakara siku ya Jumatano.
Kwa mujibu wa ratiba ya ziara ya rais Kikwete mkoani Morogoro, ratiba hiyo inaonyesha rais Kikwete atahudhuria maziko hayo siku ya Jumatano.
Tuendelee kupeana pole kwa msiba huu wa Regia, Rais Jakaya Kikwete, atawaongoza umma wa Watanzania katika maziko ya mpendwa na shujaa wetu Regia Mtema yatakayofanyika Ifakara siku ya Jumatano.
Kwa mujibu wa ratiba ya ziara ya rais Kikwete mkoani Morogoro, ratiba hiyo inaonyesha rais Kikwete atahudhuria maziko hayo siku ya Jumatano.