Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Mbilikimo wa fikra ni wewe uliyekuja na uzushi na kupindua pindua maneno. Umeulizwa swali na Pasco ukapinduwa pinduwa.

Unajuwa maana ya "kuzuiliwa kuingia"? amezuiliwa airport ipi ya Denmark au mpaka upi wa Denmark?

Hivi unafikiri watu wote humu ni mapunguani kama wewe?

Watakao-kuunga mkono kwenye huu upotoshaji ni mapunguani wenzako tu, wasiojielewa kama wewe.

Wewe ndiyo wale wale "viwanda vya uongo".

Punguani wahed.


kuzuiwa maana yake nini?

unapoambiwa "umezuiliwa kwa muda kutumia Huduma hii" maana yake nini?

Ukiona tangazo linasema ' ZUIO LA MUDA KUTUMIA HUDUMA AU SEHEMU HII' kunamaanisha nini?

Pasco amependekeza labda lingetumika neno 'amekataliwa' ndo lingefaa sasa Kati ya kukataliwa na kuzuiwa lipi zito?

Mfano nikisema Rais amezuiliwa kwenda Tanga kwasababu za kiusalama na nikisema kakatazwa lipi zito na lipi jepesi?? hivi kwenye mafuvu yenu ya kichwa mmejaza nini?

Ikiwa alitaka kwenda sasa akaambiwa asiende mpaka uchaguzi upite hilo ni KATAZO au ZUWIO la muda? rais anaweza kukatazwa au kukataliwa??

Una upeo duni Sana mithili ya ngili ktk uelewa we ndorobo....
 
Last edited by a moderator:
Kama ameambiwa aende baada ya uchaguzi kwa hiyo kubaliana kiungwana tu na mleta mada kuwa kazuiwa maana asingezuiwa leo angekuwa Denmark.
In short, huyu muheshimiwa amelifedhehesha taifa...
Ndio maana hata sisi tukienda kuomba visa tunakataliwa, source ni mkuu wa kaya!!
 
Wewe CCM na jinsi wanavyofanya kazi inakuhusu nini? Siyo kampuni ile kama chadema kuwa Mwenyekiti ndiyo kila kitu. Mwenyekiti ana wakati wake na watendaji wengine wana yao ya kufanya.

Huijuwi CCM, unafikiri ni saccos ya Ufipa ile?


Ewe punguani nani aliyekurigaaaaa


Nimekwambia yeye Kama rais na mwenyekiti alipaswa jipa muda kufwatilia kwa karibu...
 
Anaacha kuwaaga wapiga kura anaaga wanyonyaji eti wamepewa jina la WAHISANI..!!

Ndo zao CCM na sahivi wameimport bidhaa kutoka huko kwa wahisani UN eti ndo iwe raisi wenu ...ili muendelee kupatiwa misaada ya vyandarua,Mahige ni noma sana
 
let's say kama angeingia Denmark hio speech yake angesema nmekuja kuaga hamtaniona tena au kuaga vp?
 
Kuna watu wanashangaa hilo kwa sababu wanaishi kama ngedere, wanaishi wakiamini viongozi ndio wenye jukumu la kuchagua wajibu zao na kutupimia haki zetu.
Hawatoelewa hili jambo
 
Kuna watu wanashangaa hilo kwa sababu wanaishi kama ngedere, wanaishi wakiamini viongozi ndio wenye jukumu la kuchagua wajibu zao na kutupimia haki zetu.
Hawatoelewa hili jambo


Kweli kabisa kamanda.
 
Kwa hiyo ameishia uwanja wa ndege akageuza kuelekea nchi nyingine? Mbona majanga!
 
Huku watangaza nia wanaleta viongozi wa nchi jirani.

Si unakumbuka pia çcm waliwahi kumleta Mchina jukwaani
Viongozi wengi wa Afrika mambu-mbu-mbu, hata Raila Odinga alimtumia sana Magufuli wakati alipotangaza nia Kenya.
 
Viongozi wengi wa Afrika mambu-mbu-mbu, hata Raila Odinga alimtumia sana Magufuli wakati alipotangaza nia Kenya.


Nayeye Magufuli akamchukue sasa!!!

Nilishangaa wale viongozi waliohudhuria kutangaza nia kwa Makongoro!!!!

Yaani miafrika tupo hovyo Sana!!!!
 
Inaelekea hakua nao, labda alimpigia cm akiwa airport kuwa kazuiwa, na akaambiwa ni sawa kabisa. Uswahili hauna mipaka ukikozoea basi utaambatana nao tu.

Nasikia yupo South Africa, hivi hizi safari zake zimeshafikia ngapi mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom