Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Fedha za wtz hazina mtetezi acha atumie kuzunguka kuwaaga masela wake. Kidum chama cha mapinduzi.
 
Hii yote ni njaa tu ili wapate posho; mbona wao wazungu wakimaliza muda wao hawazunguki kutuaga? Jamaa wanajitafutia ulaji wa mwisho!!
 
Amezidi kuhangaika nchi za watu, eti anaenda kuaga! kuaga ili iweje? Hii tabia ya kuaga nchi za nje imeanza lini? Mbona Mwalimu hakwenda kuaga nchi za nje? Tayari deni la Taifa liko 40 trillion hizi safari zisizo na Tija nchi za nje hazihusu kitu.

wapwa zangu BAK tpaul MANI Elli njooni mjione yaliyomsibu baba yetu huko unyamwezini....
 
Sasa nyimbo imebadilika, si mafaili tena ni vikao? Unanchekesha!

Hivyo vikao vya CCM unajuwa vipo lini? na uliona kikao kinachohitajika Mwenyekiti kuwepo akakosekana?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga? mnasikitisha sana jinsi mlivyo finyu wa kuelewa.
Kuendelea kubishana na mjinga kama wewe ni shidaaa!!!

Hoja huyo ndugu yako anasoma mafaili saa ngapi!!! Na hayo hayo mafaili ndiyo yanayotumika kuendesha vikao!!!

Wewe wa wapi vile?!
 
Arudi home sweet home aone jinsi liccm linavyochacha kila siku asiwakimbie wenzie. amefeli vibaya na ameingia historiani atakumbukwa vizazi na vizazi kwa uongozi dhaifu kutowajibika na ubadhirifu mkubwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika utawala wake.
 
Ina maana Rais wetu hata kumruhusu kuingia a.k.a 'kuzuka' Denmark kwa gia ya ''ziara binafsi'' kimya kimya pia walimwekea zuio, hii siyo dalili nzuri kabisa kidiplomasia inabidi Waziri Membe ''aanzishe'' mgogoro wa kidiplomasia na kutoa wito kwa balozi wa Denmark nchini Tanzania afike haraka ofisini atoe ufafanuzi!
 
Amezidi kuhangaika nchi za watu, eti anaenda kuaga! kuaga ili iweje? Hii tabia ya kuaga nchi za nje imeanza lini? Mbona Mwalimu hakwenda kuaga nchi za nje? Tayari deni la Taifa liko 40 trillion hizi safari zisizo na Tija nchi za nje hazihusu kitu.


Ndo mshangao upo hapo anakwenda kuaga walimpigia kura? au utalii tu?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Arudi home sweet home aone jinsi liccm linavyochacha kila siku asiwakimbie wenzie. amefeli vibaya na ameingia historiani atakumbukwa vizazi na vizazi kwa uongozi dhaifu kutowajibika na ubadhirifu mkubwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika utawala wake.


Hujasikia kaelekea kwa Zuma?
 
Back
Top Bottom