Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Huko hata asijaribu nako watamzuia tu, wamkaribishe wa nini wakati hatakuwa tena na manufaa kwao? Watamshauri aage kupitia ubalozi wao.


Huu muda angeutumia kutatua changamoto kuliko kuupotezea hewani sijui mafaili ya watia nia atayapitia lini aisee....
 
Aisee nimevutiwa Sana na demokrasia za Wenzetu zilivyo na usawa....

ingekua hapa waziri mkuu au Rais aliyepo madarakani ambaye naye ni mgombea atafanya manyanga yote kwa kofia ya urais licha ya kwamba inampa favour kuliko wenzie....

Angalia TBC1 inavyotoa airtime kwa CCM kuliko vyama vingine ingawa inaendeshwa kwa kodi zetu sote....

Hao ccm wanarusha matangazo Yao bure?
Je ccm ITV, star tv, Chanel 10 Na nyinginezo inapata air time Kama vyama vingine?
 
Weka picha ya hiyo ndege hapo Airport wakimzuia,,acha longo longo
 
Huu muda angeutumia kutatua changamoto kuliko kuupotezea hewani sijui mafaili ya watia nia atayapitia lini aisee....

Alishapitia faili gani huyu? Hana huo muda ndio maana katufikisha hapa tulipo we huoni sasa kila mtu ni msemaji wa serikali, angekuwa anapitia mafail asingekuwa anatoa maamuzi ya hovyo, kura ya maoni haikuwa kazi yake lakini karopoka iko wapi? Huu muda angeutumia kuwaomba radhi watanzania kwa kuwadhoofisha kiuchumi wakati rasilimali zetu zinazidi kwisha.
 
Hao ccm wanarusha matangazo Yao bure?
Je ccm ITV, star tv, Chanel 10 Na nyinginezo inapata air time Kama vyama vingine?


Ndugu TBC1 nimeitolea mfano so Kama nawe unazijua zingine zitaje tu...

Je TBC1 inazinyima airtime vyama vingine kwakuwa vinapata Sana kwenye channel zingine?
 
Alishapitia faili gani huyu? Hana huo muda ndio maana katufikisha hapa tulipo we huoni sasa kila mtu ni msemaji wa serikali, angekuwa anapitia mafail asingekuwa anatoa maamuzi ya hovyo, kura ya maoni haikuwa kazi yake lakini karopoka iko wapi? Huu muda angeutumia kuwaomba radhi watanzania kwa kuwadhoofisha kiuchumi wakati rasilimali zetu zinazidi kwisha.


Aisee ni shida....
 
Mkuu Rais Wa nchi halazimiki kuwa na mwaliko pia ziara hii ni yeye ndo kajipeleka ati kuwaaga wahisani wetu....So hakuitwa kaenda mwenyewe kwa mapenzi yake.....

Danh yaweza kuwa. . . . . maswali mengi kuliko majibu
 
Anapeleka mambo ya kikwer£ kwenye nchi za watu..kule wako serious na mambo yao..
 
Kwa hiyo anarudi au ndio kashatafuta nchi ingine ya kwenda?
 
Aisee nimevutiwa Sana na demokrasia za Wenzetu zilivyo na usawa....

ingekua hapa waziri mkuu au Rais aliyepo madarakani ambaye naye ni mgombea atafanya manyanga yote kwa kofia ya urais licha ya kwamba inampa favour kuliko wenzie....

Angalia TBC1 inavyotoa airtime kwa CCM kuliko vyama vingine ingawa inaendeshwa kwa kodi zetu sote....

Mkuu bado unaangalia TBC1? Wenzio tulisha acha zamani sana. Fanya research ndogo tu, pita kwa majirani zako wakati wa taarifa ya habari, pia pita mchana angalau kwa jirani zako kumi tu, hata maofisini kama kuna TV basi sio TBC1 ambayo hutazamwa. Wala habari leo hutaona mtu ananunua au uhuru, mzalendo nk
 
Mkuu bado unaangalia TBC1? Wenzio tulisha acha zamani sana. Fanya research ndogo tu, pita kwa majirani zako wakati wa taarifa ya habari, pia pita mchana angalau kwa jirani zako kumi tu, hata maofisini kama kuna TV basi sio TBC1 ambayo hutazamwa. Wala habari leo hutaona mtu ananunua au uhuru, mzalendo nk


Ila hii TV ilikuwa juu Sana enzi za akina Tido Mhando now inatia Huruma!!!
 
Back
Top Bottom