Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

WEWE UNACHEZA NA KAGAME? YEYE JESHI LK LIKO KAZIN MUDA WT WKT HW WENU WAKILA CHIIPS NA KUNENEPEANA,
Weye ushaenda kambi Gani ya jeshi ukawakuta wanajeshi wanakula chips...?
Swala la kuwa kazini Kila muda, kwani mipaka Yako unajua inalindwa na wakina nani...?
Au kwa sababu unaona unavyoishi kwa amani unalewa amani hujui uko mwenye mipaka ya nchi yetu vijana(Wanajeshi) wanakutana na visanga vingapi vya maharamia, na watu wasiopenda Amani nchi yetu Wanavyosumbua...
Ungelifika siku Moja mpakani uone maisha ya Wanajeshi uko mpakani wanavyoishi na patroo za usiku mipakani na maporini...usingedhubutu...kuongea shit...
 
Ni sawa tu kupigwa biti maana hatuna viongozi imara lazima tuchezewe
 

(December 2022)
 
Ila tuwe wa kweli , japo Rwanda itazidiwa au kushindwa lakini TPDF hivi sasa ipo weak katika historia ya hii nchi, very weak...

Mbinu za kivita duniani zimebadilika sana asee, vita ya Ukraine damage kubwa zinafanywa na drones, karibu asilimia 70...

Na jeshi la Rwanda wamejiingiza kwenye hizo drones, operators wa drones sio wanapasua matofali kwa kichwa, wao ni kama gamers tu, kama mtu anacheza playstation... vita imebadilika sana..

Hao jamaa kujiamini hivyo inabidi iwe wake up call, itakuwa hawajiamini bure... mnakwenda na Artillery guns/mabomu ya mizinga ya enzi za Kagera war, unatumiwa ki drone kidogo kinawalipua na silaha zenu zote...
Tunakutana nq wanajeshi wanakimbia jogging.sijui ndiyo mazoezi yq uimara au wanakata mafuta.maana wengi wana matumbo makubwa
 
kwa sasa jeshi sio watu ni technologia na Pk ana tujua njee ndani kama sisi tunavyo mjua , kwa miaka ya karibuni RDF imeonyesha uwezo mzuri kuliko JW yetu ya vimemo .

Silaha yetu hatari tulio tamba nayo kule congo ni zile Bm tu uku M23 waki tumia drones na wana hadi siraha za kujam drones .
Sisi tuko bussy na Winga Lugumi atuchambulie siraha sokoni
Rwanda hana ukubwa anaopewa hata kitechnology tu
 
Punguza dharau za kijinga. Mbona juzi mmepigwa na jeshi lenu kutekwa mpaka mkaenda kuomba msamaha ndio mkarusiwa kuondoka kwa aibu. Vita sio maneno, wenzako wamekimbia wewe unaropoka tu.
Jukumunilikuwa kulinda aman sio kupigana, ingetokea walete nyoko uone jwtz ilivyo
 
Weye ushaenda kambi Gani ya jeshi ukawakuta wanajeshi wanakula chips...?
Swala la kuwa kazini Kila muda, kwani mipaka Yako unajua inalindwa na wakina nani...?
Au kwa sababu unaona unavyoishi kwa amani unalewa amani hujui uko mwenye mipaka ya nchi yetu vijana(Wanajeshi) wanakutana na visanga vingapi vya maharamia, na watu wasiopenda Amani nchi yetu Wanavyosumbua...
Ungelifika siku Moja mpakani uone maisha ya Wanajeshi uko mpakani wanavyoishi na patroo za usiku mipakani na maporini...usingedhubutu...kuongea shit...
We mjinga acha stori za vijiweni Mimi nipo mpakani huku jeshi hakuna chochote linalofanya tena kama kuna adui anaingia fasta tu kuwashugulikia nchi ipo uchi hii sio miaka ya kudanganya watu
 
We mjinga acha stori za vijiweni Mimi nipo mpakani huku jeshi hakuna chochote linalofanya tena kama kuna adui anaingia fasta tu kuwashugulikia nchi ipo uchi hii sio miaka ya kudanganya watu
Jifanye adui ingia kaka hahahaha utajua watu wapo au hawapo
 
Back
Top Bottom